chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,361
- 27,740
Asanteeee bibie Evelyn chumviView attachment 515136 weekend message......
Asanteeee bibie Evelyn chumviView attachment 515136 weekend message......
Naomba rejea kwenye maelezo yangu "wadanganye wasiokujua" ulihitaji selfie na mm kudhihirisha kuwa nakufahamu? Kale kastarlet cha spana mkononi umemalizia deni la mshikaji au bado mnapelekana polisi hadi leo? Maana hulipi hela kisa gari inasumbua miaka mingapi hadi leo? Toka 2012 ukiwa sinza kwa remmy ukatoka ukahamia magomeni huu ni mwaka wangapi?Namdediketia kibao cha AMADA, nahisi amelewa.....
BAK naomba umpe huyo masele hapo juu songi la AMADA
shame! ukihitaji picha zako nakutolea moja hapa IGM.Haswaaa ningeskitika piaAngetangaza mwanaume kamega ungesikitika?
Ha ha ha ha ha ha hebu jipe muda wa kunyapia nyapia info zangu afu ndo upike pike storyNaomba rejea kwenye maelezo yangu "wadanganye wasiokujua" ulihitaji selfie na mm kudhihirisha kuwa nakufahamu? Kale kastarlet cha spana mkononi umemalizia deni la mshikaji au bado mnapelekana polisi hadi leo? Maana hulipi hela kisa gari inasumbua miaka mingapi hadi leo? Toka 2012 ukiwa sinza kwa remmy ukatoka ukahamia magomeni huu ni mwaka wangapi?shame! ukihitaji picha zako nakutolea moja hapa IGM.
Poa karibu huku upepo unakovuma wewe siyo kisiki magomeni tu miaka nenda rudi!Ha ha ha ha ha ha hebu jipe muda wa kunyapia nyapia info zangu afu ndo upike pike story
ROCK CITY ndo home yani huko sinza kwa remmy hata ukiniacha ubungo tu sifiki nitapotea pole bro
Habari ya asubuhi mamyHa ha ha ha ha ha hebu jipe muda wa kunyapia nyapia info zangu afu ndo upike pike story
ROCK CITY ndo home yani huko sinza kwa remmy hata ukiniacha ubungo tu sifiki nitapotea pole bro
Hiyo magomeni hata rangi yake tu siijuiPoa karibu huku upepo unakovuma wewe siyo kisiki magomeni tu miaka nenda rudi!
Salama demi hajamboHabari ya asubuhi mamy
Sijambooo. Habari za hapa?Salama demi hajambo
Good Boy!Mnisamehe 7*70. Lakini kupitia kwa comments zenu wengine tumeyajua makwazo tuyasababishayo juu ya wake zetu,pia nimejifunza mengi sana jinsi ya kukaa kamati na mke wangu. Mnisamehe tena na tena maana nimekuwa mpya
Teh teh nilikuwa nalea ndoa! maana huu uzi ulinifanya nikashindwa kutekeleza majukumu. Nisije nikaachwa bure!Mkeo demi hajambo? Msalimie yupo kimya kakuaga ameenda wapi teh
Haimaanishi sisi ni wachepukaji mkuu! Mimi sichepuki kabisaaaaUmeongea ukweli maana Ujumbe wake umeibua mbinu nyingi sana ambazo zitatumika kuchepuka kwa wale ambao walikuwa si wachepukaji. Tunayajua mengi kupitia comments za akina espy, nao, Nalendwa, Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, na wengineo.
Nzuri sanaSijambooo. Habari za hapa?
Naona!Nzuri sana
Ahsante kwa kuja. Sikueleweka vizuri tu, sikumaanisha hivyo bali kupitia nyie mengi yawaumizao wenzetu yamejulikana. Evelyn kakutafuta sana. Niliomba msamaha mamaHaimaanishi sisi ni wachepukaji mkuu! Mimi sichepuki kabisaaaa
Ni vizuri umejifunza. Nilipumzika kidogi si unajua tunapokezana?Ahsante kwa kuja. Sikueleweka vizuri tu, sikumaanisha hivyo bali kupitia nyie mengi yawaumizao wenzetu yamejulikana. Evelyn kakutafuta sana. Niliomba msamaha mama
Naomba rejea kwenye maelezo yangu "wadanganye wasiokujua" ulihitaji selfie na mm kudhihirisha kuwa nakufahamu? Kale kastarlet cha spana mkononi umemalizia deni la mshikaji au bado mnapelekana polisi hadi leo? Maana hulipi hela kisa gari inasumbua miaka mingapi hadi leo? Toka 2012 ukiwa sinza kwa remmy ukatoka ukahamia magomeni huu ni mwaka wangapi?shame! ukihitaji picha zako nakutolea moja hapa IGM.
Teh teh nilikuwa nalea ndoa! maana huu uzi ulinifanya nikashindwa kutekeleza majukumu. Nisije nikaachwa bure!