Kubet ni upuuz?

Kubet ni upuuz?

Bila shaka waendesha kamari hutumia uchawi/majini kupumbaza wateja wao (wakamaria).
Hakuna uchawi wala nini. Kamari ni uraibu sawa tu na punyeto, kokeini na sigara; na unaathiri mfumo wa dopamine sawa tu na uraibu mwingine. Ndiyo maana ukizama huko kuchomoka ni shughuli pevu.

Unawatukana wanaobeti kumbe nawe si ajabu umezama katika uraibu wa punyeto, sigara, ponografia, pombe, energy drink, soda, ngono n.k. Nyote hamtakiwi kuchekana maana wote ni majiganyanza. Nyote mnahitaji msaada wa kisaikolojia na hata kitabibu!
 
mtu anabet mpaka anauza simu yake alafu uniambie kama huu si utahira
 
Hivi nikuulize mtaalam, lets say 1.2, ukiweka 10,000 unapata faida 10,000+(10,000×0.2) kwanini ukikosa upoteze 10,000? Kwanini fomula ile ile ya kupata haitumiki kwenye kukosa? 10,000-(10,000×0.2)?
Hii ngumu kumeza bwashee
20260523_110731.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Nilifaidika kupitia kamari. Maaana nilikuwa naandika kila senti nayopoteza na ninayoingiza kama afanyavyo mfanyabiashara.
Nikaja kupata mil 88.
Niliacha toka hapo
NB: Sishauri mtu awe mkamaria maana si kila mtu anaweza kuwa na nidhamu kama yangu
.
 

Ni Kama Wewe Tu,,Ulivyotuma Laki Kwa Demu Ukamkuta Maeneo Ya Kujidai Na Mchizi Mwingine Wanazitumia,,,Kila Mtu Anabet Kwa Namna Yake...Vipi Upo Bia Ya Ngapi...??Na Je Bado Una Uchungu..??
 
Back
Top Bottom