Nyani wa Somanga
JF-Expert Member
- Jan 21, 2026
- 378
- 511
Ng'ombe.Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu.
Fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
Ng'ombe.Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu.
Fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
JF lazima uwe mvumilivu ama sivyo humu ni pagumu sana,yani ni hatari,, naomba sekta yangu isifikiwe tu maana moyo wa kuvumilia maneno sina kwa kweli😄😄😄
vipi lakin uko poa kaka mkubwa?
Mfalme ni dikteta?dikteta
1.mtu anayetawala nchi kwa amri yake peke yake bila ya kushauriwa
2.mtu mwenye tabia ya kutaka lifanywe lile analosema bila ya kupingwa
uvumilivu ukinishinda nitakuja kuomba assist kwako brooo🤭 ole wako na wew uniseme nitakunyonga😄😄JF lazima uwe mvumilivu ama sivyo humu ni pagumu sana,
Nipo poa kabisa,hope u are doing good.
Betting ni kama drugs tu,Mm mwanaum anayebet namchukulia kama tahira
Kubishana na wanaume ni upuuziyani ni hatari,, naomba sekta yangu isifikiwe tu maana moyo wa kuvumilia maneno sina kwa kweli😄😄😄
vipi lakin uko poa kaka mkubwa?
sijakuelewa hebu nidadavulie kwanza🤔,,Kubishana na wanaume ni upuuzi
Me ndo nishakuanzishia sasa 😃
Hivi nikuulize mtaalam, lets say 1.2, ukiweka 10,000 unapata faida 10,000+(10,000×0.2) kwanini ukikosa upoteze 10,000? Kwanini fomula ile ile ya kupata haitumiki kwenye kukosa? 10,000-(10,000×0.2)?Kamari ni starehe ya wastaafu
Siku hizi wachina ni wengi JF.Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu.
Fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
Soon Masaki, Msasani na O'bey itakuwa China town