Kubet ni upuuz?

Kubet ni upuuz?

kama ujawahi kubeti usijaribu, pia kwa anayebeti fanya makadirio mwenyewe jumla ya pesa (stake) ulizoweka mpaka sasa alaf linganisha na pesa ulizoingiza.
Kama pesa unazoweka ni kubwa zaidi ya kiasi unachokipata acha kubeti, kukimbia peku kabisa usiangalie nyuma 🤓 !
 
Hiv mwanaume kamili unawezaje ekeza ela yako kwenye kamari kama sio upumbavu.

Fuga kuku,mbuzi,nguruwe,ngombe ama mfany biashara.maana mkamaria n mtu mpumbavu mshenz asiyejieelewa.
MAANITHI WA AKILI MNASHIDA SANA😁 Ukiona tunayo hela ya kubetia wewe tambua tayari tulisha wekeza kwenye hayo uliyo yataja ndiyo tunapata fedha ambayo baadhi tunatumia kucheza kamari
 
Wewe usitukane kazi za watu wewe kama umeminywa huko katulie huko huko. Ila huwezi amini 64000 imeenda hivi hivi
 
kama ujawahi kubeti usijaribu, pia kwa anayebeti fanya makadirio mwenyewe jumla ya pesa (stake) ulizoweka mpaka sasa alaf linganisha na pesa ulizoingiza.
Kama pesa unazoweka ni kubwa zaidi ya kiasi unachokipata acha kubeti, kukimbia peku kabisa usiangalie nyuma 🤓 !
Kwani wanaolipa viingilio vya sh30000 kuangalia mechi za simba na yanga au kununua jezi , wakitumia hiyo kanuni yako wao wanakuwa wameingiza faida kiasi gani ?si bora hata anaye beti yupo kwenye kupigania faida hata kama bado anapata hasara
 
Kwani wanaolipa viingilio vya sh30000 kuangalia mechi za simba na yanga au kununua jezi , wakitumia hiyo kanuni yako wao wanakuwa wameingiza faida kiasi gani ?si bora hata anaye beti yupo kwenye kupigania faida hata kama bado anapata hasara
Nakubaliana na wewe. Chukua huu mkeka kwanza ishi nao🤳
 
Acha kututisha wakamalia wenzangu amna kukata tamaa amna kuchoka 💪

Huu ndy mwezi wa kumnyoolosha kanji
 
Kumbe ndio maana unatoa huu ushauri,pole sana kwa yaliyo kufika,

JF VAR CHECK

 
Back
Top Bottom