Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa.
Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa. Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page. Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person". Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa.
Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa.
Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Ukisikia kuishiwa hoja ndio huku sasa, huwezi kuifanya hoja yako isimame mpaka uende personal? sasa niambie na wewe Kubenea au Nape ni nani kwako? wajombazo au wapwazo?
Hizi pesa ndo zinawashikisha kuta hivi hivi! Lowassa si mtu wa kutetea
Mkuu sana, wewe ni ndugu yetu sasa hatuwezi kukuacha uharibikiwe hivi hivi tunakuona, hao mafisadi Nchimbi na Lowassa, watakufikisha pabaya, kama walipomfikisha Rais wetu sasa hivi,
Ninaamini kuwa una akili nyingi sana, lakini ulikolalia kuna wengine wameamkia huko, mafisadi wana tabia moja in common huwa ni watumiaji wazuri sana wa wnaojipeleka kwao, tena kwa bila malipo wakati mwingine kunyamza ni busara pia kama huna hoja ya msingi hasa hapa JF,
Kwa sababu sio vigumu sana kujua nia na madhumuni yako na hii mada, mkamalizie ya Nape kwanza maana ya Kubenea yaliwashinda na tindikali zenu mlizonunua kwa mafisadi kama wenyewe, maana waliwauzia iliyo-expire, ndio maana Kubenea is still going strong.
Ndugu,
Nasikitika kukuambia kuwa hujui unachosema; unaacha kujadili issue ya Msingi kuwa Lowassa ni fisadi unataka tumjadili Kubenea.
Iwapo Lowassa ni fisadi na gateti la Kubenea limadhamiria kupiga vita ufisadi kuna ubaya gani wakimuandika fisadi Lowassa na ufisadi wake kwenye kila toleo?
Sio sawa! LAbda kama hujasoma habari zenyewe. Anarudia kile kile kila siku kama anamfundisha mtoto bwana! Mimi binafsi nimemshusha sana hadhi ndugu yangu Kubenea. Angeheshimika sana kama angesema mara moja mbili anaenda kwa mambo mengine alafu anakuja kukumbushia tena. Sidhani kama huo ndio uandishi....
Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa.
Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Sio sawa! LAbda kama hujasoma habari zenyewe. Anarudia kile kile kila siku kama anamfundisha mtoto bwana! Mimi binafsi nimemshusha sana hadhi ndugu yangu Kubenea. Angeheshimika sana kama angesema mara moja mbili anaenda kwa mambo mengine alafu anakuja kukumbushia tena. Sidhani kama huo ndio uandishi....
......huo urefa wa wanahabari ulipewa na nani mwenzetu!!!........si uache kusoma maandiko yake..........kwani wewe ni nani hasa wa kumshushia mtu hadhi.........WHO CARES ABT MSONGORU KUMSHUSHIA HADHI WHOEVER.....na hivi kumshuhsia hadhi mtu ndio unafanya nini......kwa kuja hapa JF na kutuambia kuwa wewe unasoma habari zile zile kutoka kwa kubenea!!......acha hizo mazee
.......ni nani hasa anayejishusha hadhi.....yule anayeng'ang'ania kusoma kile kile ambacho anakidharau (which is you) au yule aliyeamua kwa dhati kupambana na FISADI kutumia kalamu yake!!.......
Mzee hutendi haki hapo, Watz tunasahau kirahisi sana nampongeza sana Kubenea nadhani anatujua haswa tulivyo watz, nina mifano kwa hili ukilitaka nitakuambia na kukuthibitishia. Nilibahatika kuonana na huyu jamaa nilipokuwa Tz recently, hes simple n open minded, kwenye kujadili issue ni msikivu na anapenda kuchangia kidogo. Msonguru, tunahitaji akina Kubenea wengi na akina Balile wachache bwana,
Ushi