Kubenea kama ni maendeleo binafsi afanye sasa asiwekeze kwenye kutafuta ubunge tena. Fungu lake la kiinua mgongo aongezee mtaji ajichanganye kivingine hana tena miaka mingine mitano.Habari wakuu.
Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.
Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.
Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.
Taarifa uzipate.
Nawasilisha