Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Wewe ni wa hovyo kabisa,mbona mashimo yapo uhuru road,kawawa roa,posta mya huku na sehemu nyingi tu hapa dsm?,kama mkulu amezishikilia rupia aende akamnyang'anye?,kwani jukumu la kuzitengeneza hizo barabara ni kubenea au ni serekali kupitia kodi zetu?.Jitafakari na tumia akili na sio makalio.

Makalio ndio uliyoyaona yana maana sana katika akili yako!! endelea kuyauza tu maana ndio yenye thamani kwako. Soma uelewe. Huu mfupa ulimshinda Mnyika pamaja na jitihada zake zote na tulimtegemea sana. Kubenea pia hataweza. Hili Jimbo sio kama akili yako finyu inayowaza makalio labda ujigeuze na mbele.
 
Tuweke utaratibu wa kuuliza kodi zetu zinakwenda wapi? Nathan sio sawa kutupa lawama palipo husika
 
Makalio ndio uliyoyaona yana maana sana katika akili yako!! endelea kuyauza tu maana ndio yenye thamani kwako. Soma uelewe. Huu mfupa ulimshinda Mnyika pamaja na jitihada zake zote na tulimtegemea sana. Kubenea pia hataweza. Hili Jimbo sio kama akili yako finyu inayowaza makalio labda ujigeuze na mbele.
Nyumbu wa Lu+*/=-p./';'.,,ba we!.
 
We jidanganye hapo.

Unadhani Mimi ni wewe ulivyokuwa unasoma chuo(kama umefika). Ulikuwa huna hata kitanda wala sufuria.

Akili yako ni ndogo saana


Tuseme uko sahihi kuwa sijafika chuo (I hope you meant university) sikuwa na kitanda wala sufuria na akili yangu ndogo sana. I hope sasa utaridhika.
 
Hizo barabara zipo chini ya halmashauri, halmashauri ya Ubungo ipo chini ya UKAWA, meya Boniface Jacob amevimba mashavu tu anahangaika na Makonda anaacha majukumu yake ya muhimu.
Sasa umeenda halmashauri, ambayo ni haki yako, kuhoji mipango yake kuhusu hizo barabara? Au umeona lililo rahisi kwako ni kushika kisimu chako na kuanza kulaumu mbunge bila kujua hata mipango ya halmashauri? Majukumu ya Meya ni pamoja kukemea "double standard", kama meya wananchi wake wanafukuzwa kazi au wanapelekwa kortini kwa kughushi vyeti, tunampongeza kwa utayari wake wa kushughulika na Bashite mwenye tuhuma za kughushi. Mwache Jacob avimbe mashavu, ilmradi anatekeleza wajibu wake! Umemwona yeye peke yake? Kama vipi na we muda ukifika chukua fomu ugombee hiyo nafasi kama watu wanakuamini!
 
Kabla ya Mnyika barabara zilikuwa angalau zinapitishwa greda mara chache. Baadhi ya sehemu kulianza hata kuwekwa vibarabara vya lami. Barabara ya Legho to darajani ilikuwa inapigwa greda na ilianza kutengenezwa na sehemu nyinginge jimboni zilikuwa zina afadhali. Baada ya kuchagua upinzani mambo yote yamekwama. Hili jambo wewe hulijui na malumbano haya yalikuwepo na Mnyika alishindwa kufurukuta na kuamua kukimbia jimbo. Usiropoke kama kitu hukijui, issue ya usomi imetoka wapi hapo. Piga kimywa huna ujualo.
Katika hili wewe ndiye utakuwa unaropoka! Mimi nilikuwa nimerefer kwa aliyeleta hoja hii ambaye amejitambulisha ni msomi. Sasa wewe kwa sababu umedandia kwa mbele, tuanzie hapa: Kama kabla ya Mnyika barabara zilikuwa zinapitishwa greda ni nini kilisababisha greda ziache kupita baada ya Mnyika kuwa mbunge ikizingatiwa kuwa halmashauri ina mhandisi ambaye anaripoti kwa mkurugenzi na wala haripoti kwa mbunge!
 
Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa mbunge hawajibiki na hilo......!!??

John Mnyika alivyosimamia uchongaji wa bara bara huko kibamba maana yake ameingilia mambo yasiyo muhusu.....!!??

Kwa hiyo mbunge amechaguliwa na wananchi kwa ajili ya kutunga sheria tu.....!!?

Nitajie ninani ambaye ni muwakilishi wa kero za wananchi huko bungeni...!!??

Au kwako ubovu wa bara bara sio miongoni mwa kero za wananchi...!!!??
Achana naye huyo mkuu.
Naona anaingiza mambo ya uchama katika mambo ya msingi
 
Tuseme uko sahihi kuwa sijafika chuo (I hope you meant university) sikuwa na kitanda wala sufuria na akili yangu ndogo sana. I hope sasa utaridhika.

Useme na nani sasa?
Unaandika mawazo yako alafu unatumia wingi chaaaaaa!! Umesomea wapi mkuu??

Ngoja nikuache nisije nikaacha ukazidi kujivua nguo hapa
 
Pale itakapofika siku watanzania tukatambua huduma za jamii si mtaji wa wanasiasa kuombea kura ila ni jukumu la serikali kutekeleza majukumu yake kwa sababu ndio inayokusanya kodi... ndipo hapo taifa litapiga hatua na hizi kelele zitaisha.
Anapotajwa mbunge...maana yake si kuwa wanamtaka aje atengeneze bara bara bali wanamuita kama mwakilishi wao waliyemchagua ili atambue hiyo kero ya wananchi wake ili aifikishe sehemu husika.......

Mbunge ni mwananchi aliyechaguliwa na wananchi wenzie ili awawakilishe.....
Ndio maana JOSEPH HAULE anagombana na waziri wa maji kwa ajili ya kero za maji kwenye jimbo lake la mikumi....kwa sababu ni moja ya kero wanazokabiliana nazo wananchi wake....

Ndivyo ambavyo wananchi wa sinza kwenye jimbo la ubungo wanapaza sauti kuhusu kero ya ubovu wa bara bara ili mbunge wao asikie na awafikishie kero hiyo sehemu husika....
 
Sasa umeenda halmashauri, ambayo ni haki yako, kuhoji mipango yake kuhusu hizo barabara? Au umeona lililo rahisi kwako ni kushika kisimu chako na kuanza kulaumu mbunge bila kujua hata mipango ya halmashauri? Majukumu ya Meya ni pamoja kukemea "double standard", kama meya wananchi wake wanafukuzwa kazi au wanapelekwa kortini kwa kughushi vyeti, tunampongeza kwa utayari wake wa kushughulika na Bashite mwenye tuhuma za kughushi. Mwache Jacob avimbe mashavu, ilmradi anatekeleza wajibu wake! Umemwona yeye peke yake? Kama vipi na we muda ukifika chukua fomu ugombee hiyo nafasi kama watu wanakuamini!

Kitendo cha Mimi/yeye kuende halimashauri kinadhihirisha jinsi serikali ya halimashauri isivyojitambua
 
Anapotajwa mbunge...maana yake si kuwa wanamtaka aje atengeneze bara bara bali wanamuita kama mwakilishi wao waliyemchagua ili atambue hiyo kero ya wananchi wake ili aifikishe sehemu husika.......

Mbunge ni mwananchi aliyechaguliwa na wananchi wenzie ili awawakilishe.....
Ndio maana JOSEPH HAULE anagombana na waziri wa maji kwa ajili ya kero za maji kwenye jimbo lake la mikumi....kwa sababu ni moja ya kero wanazokabiliana nazo wananchi wake....

Ndivyo ambavyo wananchi wa sinza kwenye jimbo la ubungo wanapaza sauti kuhusu kero ya ubovu wa bara bara ili mbunge wao asikie na awafikishie kero hiyo sehemu husika....
Hawezi kukuelewa huyo maana anafanya mambo kishabiki
 
Useme na nani sasa?
Unaandika mawazo yako alafu unatumia wingi chaaaaaa!! Umesomea wapi mkuu??

Ngoja nikuache nisije nikaacha ukazidi kujivua nguo hapa

Kwani humu tunachat watu wawili tu? Mimi nishavua nguo tayari. Sema lingine kusoma sijasoma maana niliishia London School of Economics. Ni shule tu (SCHOOL) wala sio University kama uliyopo wewe leo. Ila nilipomaliza walinipa PhD.

1200px-London_School_of_Economics_Coat_of_Arms.svg.png
 
Kwani humu tunachat watu wawili tu? Mimi nishavua nguo tayari. Sema lingine kusoma sijasoma maana niliishia London School of Economics. Ni shule tu (SCHOOL) wala sio University kama uliyopo wewe leo. Ila nilipomaliza walinipa PhD.

1200px-London_School_of_Economics_Coat_of_Arms.svg.png

Umechanganyikiwa Mkuu.
 
Umechanganyikiwa Mkuu.


Sana tuu. Huwezi kumaliza "school" ukapata PhD na ukawa sawa tu....

Back to topic suala la barabraba kuwa mbovu sio jukumu la mbunge awe kubebea au hata awe Makamba. Ni suala la serikali kuu na/au serikali ya mtaa maana ndio wanao kusanya kodi. Mbunge hawajibiki kutengeneza barabara.
 
Pesa zote za halmashauri anazikuchukuwa mkulu.. Kuenea afanye nini sasa hapo?
 
Back
Top Bottom