Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,705
- Thread starter
- #81
hivi kuna majimbo yaliyochukuliwa na upinzani, kuna huduma yoyote serikali ya magu ilishapeleka, mie naona inaenda kwenye majimbo ya ccm, lakini upinzani hamna, sasa baadae 2020 kwenye kampeni waje wadanganye wananchi kuwa mumemchagua flani wa chama flani, mbona hajafanya lolote, chagueni kijani muone, na kwa hili upinzani wasitegemee support kutoka serikalini, kama wana wadhamini nje wajitahidi tu wawasaidie, ila sasa wakishaleta hao wahisani kama ya pale kwa lema, serikali itaingilia kati itibue kila kitu,
Hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kunidanganya eti sijatimiza ahadi Kwa sababu serikalini haikunipa pesa. Je ulivyokuwa ukiahidi hukujua kuna changamoto kama hizo?
Kama ulijua je ulipanga mikakati gani kukabili changamoto hiyo?