Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Hakukuwa na haja ya yeye kudanganya wana ubungo, kazi hawezi na alitaka ubunge sababu ya tumbo lake.
Serikali ya CCM inakusanya pesa yote,halafu inaigawa kwa wabunge Kwa upendeleo mkubwa,CCM haikushinda Dar es salaam,ndiyo ilpokuja na mbinu ya kumchagua mkuu wa mkoa,kuja kuvurugq mikakati ya wapinzani,katika kuliendesha jiji,badili ya wapinzani ambao walichaguliwa na wanaungwa mkono na wananchi,ndiyo walipomwingiza kuharibu na kupropaganda,katika sehemu ambayo wamekosa haki ya kisheria,kuingilia mambo ya ndani ya majimbo hayo ya wapinzani,na badili yake wanakiuka sheria kwa kuvitumia vyombo vya usalama kukusanya mapato,inaonesha bado hawajaikubali demokrasia,ni watu wa kupropaganda,CCM mkoa mbali kutoka katka ukweli yakinifu.wacheni humu kuusaidia utawala huu,uliokosa kufahamu dhamana zake,na badili take hata kukiuka na kuendesha ubabaishaji na ukandamizaji ,mfano mdogo tu,mlivyowakusudia wale wapinzani katika vyeti na kukiuka kwa uwazi kabisa katika upendeleo wa vyeti,ati ukiwa mkuu wa wilaya,waziri nk,Iowa halikupati,hii Ni sawa sawa na utawala wa kibaguzi wa afrika kusini,walipoweka sheria za kibaguzi,za kwamba watu fulani walikuwa na haki fulani na wengine hawana,huku ikiwa raia wote wa nchi moja,huku sheria zikiwahusu fulani fulani,na wengine hazikuwahusu,ubaguzi huu wa kimatabaka katika vyeo unawaruhusu watu fulani kukiuka sheria na makosa ya wazi waliyoyafanya,vyovyote mtakavyofanya CCM inakwenda zake Kama alivyoatabiri nape 2020.
 
Mkuu hata huku jimbo la Kawe hali ni hiyohiyo,Halima Mdee njoo KWENYE JIMBO LAKO BARABARA HAZIFAI SISI NDIO TULIOKUCHAGUA LAKINI HATUKUONI MBALI YA KUKUONA TU KWENYE RUNINGA UKIWA KWENYE MJENGO UKILA KIYOYOZI,BARABARA HAZIPITIKI,NJOO UJIONEE MWENYEWE
Serikali ya CCM inakusanya pesa yote,halafu inaigawa kwa wabunge Kwa upendeleo mkubwa,CCM haikushinda Dar es salaam,ndiyo ilpokuja na mbinu ya kumchagua mkuu wa mkoa,kuja kuvurugq mikakati ya wapinzani,katika kuliendesha jiji,badili ya wapinzani ambao walichaguliwa na wanaungwa mkono na wananchi,ndiyo walipomwingiza kuharibu na kupropaganda,katika sehemu ambayo wamekosa haki ya kisheria,kuingilia mambo ya ndani ya majimbo hayo ya wapinzani,na badili yake wanakiuka sheria kwa kuvitumia vyombo vya usalama kukusanya mapato,inaonesha bado hawajaikubali demokrasia,ni watu wa kupropaganda,CCM mkoa mbali kutoka katka ukweli yakinifu.wacheni humu kuusaidia utawala huu,uliokosa kufahamu dhamana zake,na badili take hata kukiuka na kuendesha ubabaishaji na ukandamizaji ,mfano mdogo tu,mlivyowakusudia wale wapinzani katika vyeti na kukiuka kwa uwazi kabisa katika upendeleo wa vyeti,ati ukiwa mkuu wa wilaya,waziri nk,Iowa halikupati,hii Ni sawa sawa na utawala wa kibaguzi wa afrika kusini,walipoweka sheria za kibaguzi,za kwamba watu fulani walikuwa na haki fulani na wengine hawana,huku ikiwa raia wote wa nchi moja,huku sheria zikiwahusu fulani fulani,na wengine hazikuwahusu,ubaguzi huu wa kimatabaka katika vyeo unawaruhusu watu fulani kukiuka sheria na makosa ya wazi waliyoyafanya,vyovyote mtakavyofanya CCM inakwenda zake Kama alivyoatabiri nape 2020.
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Serikali ya CCM inakusanya pesa yote,halafu inaigawa kwa wabunge Kwa upendeleo mkubwa,CCM haikushinda Dar es salaam,ndiyo ilpokuja na mbinu ya kumchagua mkuu wa mkoa,kuja kuvurugq mikakati ya wapinzani,katika kuliendesha jiji,badili ya wapinzani ambao walichaguliwa na wanaungwa mkono na wananchi,ndiyo walipomwingiza kuharibu na kupropaganda,katika sehemu ambayo wamekosa haki ya kisheria,kuingilia mambo ya ndani ya majimbo hayo ya wapinzani,na badili yake wanakiuka sheria kwa kuvitumia vyombo vya usalama kukusanya mapato,inaonesha bado hawajaikubali demokrasia,ni watu wa kupropaganda,CCM mkoa mbali kutoka katka ukweli yakinifu.wacheni humu kuusaidia utawala huu,uliokosa kufahamu dhamana zake,na badili take hata kukiuka na kuendesha ubabaishaji na ukandamizaji ,mfano mdogo tu,mlivyowakusudia wale wapinzani katika vyeti na kukiuka kwa uwazi kabisa katika upendeleo wa vyeti,ati ukiwa mkuu wa wilaya,waziri nk,Iowa halikupati,hii Ni sawa sawa na utawala wa kibaguzi wa afrika kusini,walipoweka sheria za kibaguzi,za kwamba watu fulani walikuwa na haki fulani na wengine hawana,huku ikiwa raia wote wa nchi moja,huku sheria zikiwahusu fulani fulani,na wengine hazikuwahusu,ubaguzi huu wa kimatabaka katika vyeo unawaruhusu watu fulani kukiuka sheria na makosa ya wazi waliyoyafanya,vyovyote mtakavyofanya CCM inakwenda zake Kama alivyoatabiri nape 2020.Hata ninayoyasema hayataki tochi.
 
Wewe unazungumzia kubenea huyo ana afadhari kuna mtu mmoja buda hajielewi na hana msaada mtu wa ajabu kwelikweli sijapata kuona kama Mbunge wa kigamboni ni Mpumbavu kupita maelezo
 
Kubenea atatoa pesa mfukoni mwake? Walalamikie watu wa Manispaa ambao wanaweza kujenga kwa pesa zitokanazo na makusanyo mbalimbali ndani ya halmashauri husika ama peleka malalamiko yako kwa Dereva wa Lori ambaye kupitia waziri wa ujenzi anaweza kutenga fungu kwa ajili ya ujenzi wa barabara hizo. Kubenea kazi yake ni kuwasemea wananchi wake ukiwemo wewe pale bungeni.
Wewe unejionea hata lile jina la nyumbu halikufai ukaona bora ujiite mdudu
 
Nyie watu, huu ujinga utaisha lini jamani? kwa nini uiangalie barabara mbovu kisha uanze kumlilia Mbunge????? Bajeti ya ujenzi wa barabara siku hizi imehamishiwa kwa wabunge?????
Kazi ya mbunge ni nini?
 
Wanazibania makusudi ili ionekane wabunge hawajafanya lolote,lakini tunajuwa hiyo ni kazi ya jiji chini ya meya wa kuchonga wa CCM.Mkurugenzi kada,mkuu wa mkoa kada.
Hivi meya wa dar anatoka chama gani?
 
Nadhani mleta uzi alikusudia kum-attack Kubenea personally sidhan km alitaka kuwasilisha kero kwa maana ya ufumbuz,ulichokizungumza ndo mzizi na msing wa tatizo,Kubenea hakusanyi kodi,after all ana mda mfupi tu km mbunge na isitoshe hiyo si kaz yake ya moja kwa moja. Mleta uzi sijui tangu azaliwe hajawahi vuka Sinza ajionee na huko kwngne.
Hilo jimbo kabla ya Kubenea alikuwepo Mnyika sasa hebu niambie tofauti ya chadema na ccm ni kitu basi
 
Mtoa mada ana chuki binafsi na kubenea! Barabara karibu zote za jijini zimeharibika kutokana na mvua na ni wajibu wa serikali kuzikarabati kupitia wizara husika
Yeye kaongelea jimboni kwake acha kumtetea mr. Shanga
 
Msomi hata hujui mwenye majukumu ya kutengeneza barabara?
Zipo barabara za Tanroads na Zipo barabara za Manispaa.
Ni wapi ulisoma au kusikia ujenzi wa barabara ni jukumu la Mbunge?
 
Sasa si mumuambie Makondakta atengeneze hizo barabara.

Mbona Arusha Gambo kapeleka watoto majeruhi Marekani.
Nani kakudanganya huyo jamaa kawapeleka hao watoto Marekani?kutoa hesabu ya rambirambi tu!mtihani!
 
Kubenea atatoa pesa mfukoni mwake? Walalamikie watu wa Manispaa ambao wanaweza kujenga kwa pesa zitokanazo na makusanyo mbalimbali ndani ya halmashauri husika ama peleka malalamiko yako kwa Dereva wa Lori ambaye kupitia waziri wa ujenzi anaweza kutenga fungu kwa ajili ya ujenzi wa barabara hizo. Kubenea kazi yake ni kuwasemea wananchi wake ukiwemo wewe pale bungeni.
Mkuu unaweza kuniambia mara ya mwisho kumsikia Kubenea Bungeni ni lini?

Unajua nini wajibu wa mwananchi hasa Mwanafunzi wa Chuo?
Unajua wajibu wa mbunge?

Niende halimashauri mbunge akiwa anakazi gani?
 
Umejiuliza kwa nini Kubenea ameshindwa kutengeneza hata barabara? Unafikiri haoni/hataki?. Mnyika amekimbia hapo na machachari yake hakufurukuta. Jimbo la ubungo siasa ndio kila kitu, kuna vizee vya ccm hapo mtu wa chama kingine hawezi fanya lolote. Jaribu kuulizia storia ya hapo utaelewa naandika nini
Kwa hiyo nini kifanyike sasa?
 
Mtoa hoja yuko masomoni na kodi halipi lakini anataka barabara ya dhahabu. Unalalamika serikali haipo je ushafika hata kwa mtendaji kata kumuuliza haya maswali ayako? I doubt....
Mtu akiwa masomoni ndio halipi kodi?
Unadhani mtu akiwa Chuo hawezi Fanya mambo mengine?

Fikiri kama mtu mzima acha kujiaibisha.
 
Nyie watu, huu ujinga utaisha lini jamani? kwa nini uiangalie barabara mbovu kisha uanze kumlilia Mbunge????? Bajeti ya ujenzi wa barabara siku hizi imehamishiwa kwa wabunge?????

Unajua Kwa nini kuna wabunge mkuu au unaropoka hapa?
 
Barabara katika jiji la Dar kote ni mbovu. Bahati Mbaya wewe umeangalia Sinza pekee. Ungepita na Ilala, Ukonga, Temeke, n.k ungeshangaa zaidi. Lakini ungeenda na Mikoani, Wilaya na Vijijini huko ungetoa machozi!! Let's face it... Tumefikaje hapa? Yaani kuwa na miundombinu dhaifu kiasi hiki miaka zaidi ya 50 ya uhuru???? hilo ndilo swali la kutafakari kwa makini. Akina Kubenea utawalaumu bure...Tuacheni kutafuta majibu mepesi kwa matatizo makubwa.
Ndio maana waligombea ubunge mkuu.
Mambo kama haya ni sehemu ya kazi zao.
Huko pengine Napo si kuna wabunge mkuu?
Na unadhani Kipindi cha Kampeni huwa wanaongeaga nini kwenye Sera zao kama si kuboresha miundo mbinu
 
Back
Top Bottom