mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,847
- 3,663
Ingekuwa miaka iliyopita hatukuhoji sizani km hao wabunge wa upinzani wangepita. Tunabadilisha uongozi ili kurekebisha palipokosewa. Pia hizo barabara unazoambiwa kuwa zimeharibika zilijengwa kipindi cha uongozi wa ccm. Sasa km miaka 15 sio mingi kutufanya tuhoji sizani km upo sahihi. Mbona mnamhoji magufuli wakati hata miaka 2 bado? Au wanaotakiwa kuhojiwa ni ccm tu?We umeuliza swali nimekujibu,nami ninahitaji uniambie kazi ya Mbunge uijuayo,kwani hilo hilo Jimbo kabla ya Mnyika na sass Kubenea huko nyuma lilikuwa linaongozwa na Chama gani? miaka takribani 40 mbona hamkuhoji?,miaka 15 mmeanza kuhoji!