Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Yuko bize kuandaa maandamano na kujiteka.
 
Nyie watu, huu ujinga utaisha lini jamani? kwa nini uiangalie barabara mbovu kisha uanze kumlilia Mbunge????? Bajeti ya ujenzi wa barabara siku hizi imehamishiwa kwa wabunge?????
Acha kujitoa ufahamu hujui kazi ya mbunge? ? Tunawachagua ili wakachukue posho au?
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Tatizo ni Kubenia au sirikali[emoji28]?
 
Wanazibania makusudi ili ionekane wabunge hawajafanya lolote,lakini tunajuwa hiyo ni kazi ya jiji chini ya meya wa kuchonga wa CCM.Mkurugenzi kada,mkuu wa mkoa kada.
 
We mleta mada wa kulalamikiwa ni serikali kuu
Elewa kodi zote ambazo zimekusanywa bdaye zitumike wao wamezikombatiaa

Ova
 
Nadhani mleta uzi alikusudia kum-attack Kubenea personally sidhan km alitaka kuwasilisha kero kwa maana ya ufumbuz,ulichokizungumza ndo mzizi na msing wa tatizo,Kubenea hakusanyi kodi,after all ana mda mfupi tu km mbunge na isitoshe hiyo si kaz yake ya moja kwa moja. Mleta uzi sijui tangu azaliwe hajawahi vuka Sinza ajionee na huko kwngne.
 
Ebu tuache vyama pembeni kwanza. Tujiulize kazi za mbunge ni nini?
-hivi majukumu ya mbunge si pamoja na kufanya lobbying kwenye taasisi, mashirika hata serikarini ili barabara zitengenezwe?
-hivi tunapowalipa wabunge kazi na majukumu ya hayaambatani nakuwa creative /innovative wa namna ya kutatua tatizo la wananchi? Wananchi
-kama inashindikana si atumie mfuko wa jimbo kukarabati Barabara
-Imeshindikana yote hayo si azungumze bungeni basi tena kwa ukali apaze sauti yake.
Jamani ebu tuwekeni uzalendo mbele. ..kama mnaona kazi hizo ni za serikali basi hakuna haja ya kuwa na wabunge
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Hili halitaki tochi,serikali hii inapiga vita upinzani,hata ukichaguliwa na wananchi,inaizinisha peas Kwa sehemu za CCM tu,Sasa ikiwa mkoa wa Dar upo chini ya upinzani,halafu waongozaji wakuu akina bashite wewe unategemea nini,Kubenea anataka kufanya mengi lakini,majambazi ya chama tawala yanatawala Kila kitu,Hawaii Jamaa wanatawala kila kitu,lakini haya yana mwisho,ikiwa wananchi watamua,utawala huu unabagua wananchi sababu ya kutoungwa mkono.mimi natabiri 2020 CCM itakwenda tu
 
Ebu tuache vyama pembeni kwanza. Tujiulize kazi za mbunge ni nini?
-hivi majukumu ya mbunge si pamoja na kufanya lobbying kwenye taasisi, mashirika hata serikarini ili barabara zitengenezwe?
-hivi tunapowalipa wabunge kazi na majukumu ya hayaambatani nakuwa creative /innovative wa namna ya kutatua tatizo la wananchi? Wananchi
-kama inashindikana si atumie mfuko wa jimbo kukarabati Barabara
-Imeshindikana yote hayo si azungumze bungeni basi tena kwa ukali apaze sauti yake.
Jamani ebu tuwekeni uzalendo mbele. ..kama mnaona kazi hizo ni za serikali basi hakuna haja ya kuwa na wabunge
Usitetee kila kitu ni kizingiti Kwa serikali hii,haswa ikiwa kitaipa credit upinzani.
 
hivi kuna majimbo yaliyochukuliwa na upinzani, kuna huduma yoyote serikali ya magu ilishapeleka, mie naona inaenda kwenye majimbo ya ccm, lakini upinzani hamna, sasa baadae 2020 kwenye kampeni waje wadanganye wananchi kuwa mumemchagua flani wa chama flani, mbona hajafanya lolote, chagueni kijani muone, na kwa hili upinzani wasitegemee support kutoka serikalini, kama wana wadhamini nje wajitahidi tu wawasaidie, ila sasa wakishaleta hao wahisani kama ya pale kwa lema, serikali itaingilia kati itibue kila kitu,
Siasa za ccm ni za kishamba sana , hata hivyo mwisho wao umefika .
 
Mtoa mada ana chuki binafsi na kubenea! Barabara karibu zote za jijini zimeharibika kutokana na mvua na ni wajibu wa serikali kuzikarabati kupitia wizara husika
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha

Nenda kamuone DED wa manispaa ya Ubungo
 
Yupo busy na Mwanahalisi Gazeti la Maziro!!
kutwa upuuzi
 
Kubenea atatoa pesa mfukoni mwake? Walalamikie watu wa Manispaa ambao wanaweza kujenga kwa pesa zitokanazo na makusanyo mbalimbali ndani ya halmashauri husika ama peleka malalamiko yako kwa Dereva wa Lori ambaye kupitia waziri wa ujenzi anaweza kutenga fungu kwa ajili ya ujenzi wa barabara hizo. Kubenea kazi yake ni kuwasemea wananchi wake ukiwemo wewe pale bungeni.


akili za kukurupa kabisa badala ya kulia na dereva wa gari bovu angali na yeye yuko kwenye safari wanalia na mtu ambaye hawezi toa hela bila huyo dereva wa gari bovu
 
Back
Top Bottom