Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Mkuu hata huku jimbo la Kawe hali ni hiyohiyo,Halima Mdee njoo KWENYE JIMBO LAKO BARABARA HAZIFAI SISI NDIO TULIOKUCHAGUA LAKINI HATUKUONI MBALI YA KUKUONA TU KWENYE RUNINGA UKIWA KWENYE MJENGO UKILA KIYOYOZI,BARABARA HAZIPITIKI,NJOO UJIONEE MWENYEWE
 
Acheni kutetea hyu mbunge haji kabisa jimboni tulikaa masaa zaidi ya nane pale ebonite kumpigia anashinda dodoma sijui migari yataka haijii yeye yupo tu. chadema 2020 wanatakiwa wajipange sana excuse yakusema pesa wanabana serikali hazina mashiko kwanini asije na kumobilise wananchi wachange by the way jimbo la ubungo makoprity ni middle income wankiuwezo flani kuchangia hawashindwi.Sijui atajiteteaje 2020.Rudi jimbo kwako mbunge
 
Nadhani mleta uzi alikusudia kum-attack Kubenea personally sidhan km alitaka kuwasilisha kero kwa maana ya ufumbuz,ulichokizungumza ndo mzizi na msing wa tatizo,Kubenea hakusanyi kodi,after all ana mda mfupi tu km mbunge na isitoshe hiyo si kaz yake ya moja kwa moja. Mleta uzi sijui tangu azaliwe hajawahi vuka Sinza ajionee na huko kwngne.
Kazi ya mbunge jimboni kwake ni nini?
 
Mimi sioni kama wabunge wanatujali wananchi, sehemu nyingi tuu miundombinu imeharibika lkn hata mbunge kuja kuwafariji tuu raia inakuwa shida? Wananchi tuwe makini sana na wabunge wetu 2020 tusifanye makosa.
Hujui usemalo. Tangu lini wabunge wakajenga Barabara?
Serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa ndio wenye majukumu hayo. Au unaogopa kuilaumu serikali yako. Usipojenga hoja zenye mashiko, usitarajie mabadiliko.
You are milking a bull.
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Kama yeye ni jembe ashughulikie pi na ya kwenda mawasiliano kituo cha daladala, njia zote za kuingia hapo ni kero iwe kutoka shekilango au sam nujoma ni shida tupu!
 
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Huu ndio upinzani
Habari wakuu.

Mimi ni mkazi wa Sinza. Nipo kimasomo.

Kwakweli barabara za hapa Sinza zinatia kinyaa. Barabara ni mbovu mno. Si kwa watembea Kwa miguu wala wenye vyombo vya Usafiri.

Mbunge wa Ubungo mhe. kubenea embu kuja huku ujionee raia wanavyopata shida. Kata kama haina serikali bhana.

Taarifa uzipate.

Nawasilisha
Mmekoma kumchagua mtu kichama,MaCCM Hanna raha,magufuli anatesa kote,si mnapendelea msilolijua,mtaisoma namba mara hii ndio kwanza mwaka,njaa inaumiza,barabara zilizokosa viwango zinapasuka,kila mwahali,halafu CCM juu,hahahaa mlie tu.
 
Hujui usemalo. Tangu lini wabunge wakajenga Barabara?
Serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa ndio wenye majukumu hayo. Au unaogopa kuilaumu serikali yako. Usipojenga hoja zenye mashiko, usitarajie mabadiliko.
You are milking a bull.
Mbunge kwa hiyo kazi yake nini?? Anachomaanisha mleta mada ni yeye kubenea afuatilie hili, ndo kazi yake!
 
Huu ndio upinzani

Mmekoma kumchagua mtu kichama,MaCCM Hanna raha,magufuli anatesa kote,si mnapendelea msilolijua,mtaisoma namba mara hii ndio kwanza mwaka,njaa inaumiza,barabara zilizokosa viwango zinapasuka,kila mwahali,halafu CCM juu,hahahaa mlie tu.
Hivi maisha ya wana ubungo yakiwa magumu na wakikumbuka ahadi za kubenea unafikiri 2020 muathirika ni JPM au kubenea hapo ubungo?
 
Usitetee kila kitu ni kizingiti Kwa serikali hii,haswa ikiwa kitaipa credit upinzani.
Basi kwanini asiachane na hiyo serikali akafanya yake.
Ana mfuko wa jimbo sijui milioni ngapi mtanisaidia wanaojua watatuambia. Atumie hizo pesa kukarabati hakuna atakayemkataza
 
Unauhakika ilichoandika hapa juu ya gambo kuwapeleka watoto kwenye matibabu?
 
Mbunge kwa hiyo kazi yake nini?? Anachomaanisha mleta mada ni yeye kubenea afuatilie hili, ndo kazi yake!
Ukweli unajulikana CCM hata ukishinda kila kitu wanazuwiya wao,utawala wa kimabavu,si walimtia ndani,tena unataka nini zaidi?
 
Ukweli unajulikana CCM hata ukishinda kila kitu wanazuwiya wao,utawala wa kimabavu,si walimtia ndani,tena unataka nini zaidi?
Hakukuwa na haja ya yeye kudanganya wana ubungo, kazi hawezi na alitaka ubunge sababu ya tumbo lake.
 
Kubenea atatoa pesa mfukoni mwake? Walalamikie watu wa Manispaa ambao wanaweza kujenga kwa pesa zitokanazo na makusanyo mbalimbali ndani ya halmashauri husika ama peleka malalamiko yako kwa Dereva wa Lori ambaye kupitia waziri wa ujenzi anaweza kutenga fungu kwa ajili ya ujenzi wa barabara hizo. Kubenea kazi yake ni kuwasemea wananchi wake ukiwemo wewe pale bungeni.
Bas kama hatoi pesa hata kuizungumzia bas angalau
 
Hujui usemalo. Tangu lini wabunge wakajenga Barabara?
Serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa ndio wenye majukumu hayo. Au unaogopa kuilaumu serikali yako. Usipojenga hoja zenye mashiko, usitarajie mabadiliko.
You are milking a bull.
Mimi ni mkaz wa ubungo cjawah kumuona mbunge jmboni hata siku moja hasa maeneo hayo ya sinza kuanzia Shekilango had Bamaga ni tabi tu hasa nyakat za jion folen hatar Junction ya Tandale Uzur ndo usiseme km 4 unatumia dk 45 kwa gari kisa ubovu wa barabara
 
Basi kwanini asiachane na hiyo serikali akafanya yake.
Ana mfuko wa jimbo sijui milioni ngapi mtanisaidia wanaojua watatuambia. Atumie hizo pesa kukarabati hakuna atakayemkataza
Serikali ya CCM inakusanya pesa yote,halafu inaigawa kwa wabunge Kwa upendeleo mkubwa,CCM haikushinda Dar es salaam,ndiyo ilpokuja na mbinu ya kumchagua mkuu wa mkoa,kuja kuvurugq mikakati ya wapinzani,katika kuliendesha jiji,badili ya wapinzani ambao walichaguliwa na wanaungwa mkono na wananchi,ndiyo walipomwingiza kuharibu na kupropaganda,katika sehemu ambayo wamekosa haki ya kisheria,kuingilia mambo ya ndani ya majimbo hayo ya wapinzani,na badili yake wanakiuka sheria kwa kuvitumia vyombo vya usalama kukusanya mapato,inaonesha bado hawajaikubali demokrasia,ni watu wa kupropaganda,CCM mkoa mbali kutoka katka ukweli yakinifu.wacheni humu kuusaidia utawala huu,uliokosa kufahamu dhamana zake,na badili take hata kukiuka na kuendesha ubabaishaji na ukandamizaji ,mfano mdogo tu,mlivyowakusudia wale wapinzani katika vyeti na kukiuka kwa uwazi kabisa katika upendeleo wa vyeti,ati ukiwa mkuu wa wilaya,waziri nk,Iowa halikupati,hii Ni sawa sawa na utawala wa kibaguzi wa afrika kusini,walipoweka sheria za kibaguzi,za kwamba watu fulani walikuwa na haki fulani na wengine hawana,huku ikiwa raia wote wa nchi moja,huku sheria zikiwahusu fulani fulani,na wengine hazikuwahusu,ubaguzi huu wa kimatabaka katika vyeo unawaruhusu watu fulani kukiuka sheria na makosa ya wazi waliyoyafanya,vyovyote mtakavyofanya CCM inakwenda zake Kama alivyoatabiri nape 2020.
 
Back
Top Bottom