Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Umejumuisha sana mkuu
Ndio hali halisi iliyopo-ukibisha bahtai mbaya sina mamna ya kukusaidia.
Kama yamekukuta ww kwa wenzako haiwezi kua ivyo ivyo
Haijalishi yamenikuta ama lah,Hoja ni kuwa ni mambo yapo na hata kwako wewe mwenyewe yamekutokea kama bado hujastukia, vinginevyo, Tulia tu ni swala la wakati. utaona.
Kuna waaminifu saaana na micharuko sana tu
Si vibaya kuendelea kujifariji
Asante!!!!!!!
 
Mi sina wasi wasi na hilo
Okayy..
Mi mkewangu nimemkuta bikra
Hiyo ni mada nyingine kabisa.
Huwezi kunilazimisha kwamba..
La hasha si nia yangu kukuaminisha ukweli (Kwa mtazamo wako hasi) Ila, Kama kazaliwa na mwanamke basi, Hana tofauti na wao na inamhusu aidha inakuhusu wewe pia.
Nina imani nae.
Hata hao wengine wenza wao wanaimani nao lakini ukweli utasimama kuwa ukweli.
Sina sababu ya kuamini kinyume kama sijamkuta kinyume
Mangapi hayapo kama ulivyodhani yapo kabla hujayajua vyema??/QUOTE] ENDELEA KUJIFARIJI EEE!
 
mpuuzi ni wako kwa kuamini kwamba mpenzi wako anachokonolewa na kidume kingine na inawezekana hata hao watoto kama unao sio wako kwa ujinga wako na upuuzi wako bado hadi hivi sasa unawalea badala uwapeleke kwa baba yao.
 
Wanadamu tunajifariji sana kwenye mahusiano.
Umefahamiana nae akiwa mkubwa tu mkapendana,
Mkaaminiana basi unabwaga manyanga na kuona kuwa ni muaminifu na hawezi kukusaliti.
Labda kama upo kwenye uhusiano na malaika pekee, Vinginevyo unajidanganya;
Ni upuuzi kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako
TAFAKARI

Ethical Relativism
 
Ni kweli kwa asilimia nyingi tu. Mtafiti njoo tufanyie utafiti wa hili jambo Eti katika mahusiano usijitape eti hakuna mwingine.
 
Umeona eeh, watu wanapenda kukatisha tamaa tu.
Tuvumiliane tu, ukweli unayo kawaida ya kuuma lakini tufanyeje?
quote_icon.png
By King'asti

Mimi paw ni wangu peke yangu, na mimi ni wake peke yake.
Naweza kukukubalia wewe kusema ni wako lakini la wewe kuseme yeye ni wako? Mhh mh, Unausemea moyo wake si sawa.
Mwenye ujasiri wa kusema amenishare na paw wangu ajitokeze hapa. Na mwanamke mwenye ujasiri wa kusema keshawahi kumpata paw wangu na aseme sasa!
Huu mchezo wa kitoto sasa, Tunazungumzia maisha yetu ya kawaida tunayoishi kwenye jamii zetu unapoleta habari ya kumtafuta shuhuda humu kwenye mtandao hakika si rahisi kumpata, Vilevile hilo si lengo hasa la Uzi huu.
Asanteeeee!!
 
mpuuzi ni wako kwa kuamini kwamba mpenzi wako anachokonolewa na kidume kingine na inawezekana hata hao watoto kama unao sio wako kwa ujinga wako na upuuzi wako bado hadi hivi sasa unawalea badala uwapeleke kwa baba yao.
Wewe kweli Mgeni.
Ushauri wa bure:
Anza hatua ya darasa la tatu kujifunza namna ya kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.
Vinginevyo, Sina muda mchafu kukujibu mtu ambae hata Kuwasilisha ujumbe kwa sentensi tatu tu ni taabu.
 
Kwani we lazima uwe na sisi?kila mtu na anavyoona yeye huwezi ukatusemea mioyo yetu..aaallaaah

Pole kwa kuendeshwa na hisia.

Ila siku ukiwa mwanamke utajua nilichokisema.
 
kikubwa ni heshima tu..kama umeamua kuoa au kuolewa basi uwe na heshima kwa mwenzako.usimuonyeshe uchafu wako.....mimi nimeoa na ni mchepukaji.ila mke wangu is my number oneeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom