Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

wanadamu tunajifariji sana kwenye mahusiano.
Umefahamiana nae akiwa mkubwa tu mkapendana,
mkaaminiana basi unabwaga manyanga na kuona kuwa ni muaminifu na hawezi kukusaliti.
Labda kama upo kwenye uhusiano na malaika pekee, vinginevyo unajidanganya;
ni upuuzi kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako
tafakari

mfyuuuuuuuuuuuuu
 
Kwa mtu niliyekutana nae barabarani a few years back I can not give him 100% ya uaminifu. Naacha some percentage for my sanity! Wewe mwenyewe can u give urself 100% kuwa hutokaa uje u cheat? Hapa naongelea cheating in totality from flirting na tabia zingine ambazo u can not do openly mbele ya ur partner. If u cant give urself 100% kwa nini uweke such high expectations kwa mwingine?
 
hahahahaaaa! Kijanaaa!.
Siku ukijakujionea live anapomegwa ndipo mlipuko wa moyo utakapokukumba....
..........never ever trust any women............

Haimaanishi hawezi/siwezi fatwa lakini ni vizuri ukawa optimistic katika mambo haya vinginevyo itafika wakati umzuie mwenzio hata asiwe anapokea ...trust me,bado mapenzi ya kweli yapo na bikra zipo mpaka leo sasa kama wewe haijakutokea utabaki kuona watu wote wanacheat kumbe tatizo ni wewe mwenyewe.
 
Ni ujinga ukiamini kma mko wengi ktk mahusiano kamwe huwezi kuishi kwa amani.

Wangu nilimtoa ubikira mwenyewe hadi nmemuoa....kazi kwako
 
Huna haki ya kufanya kitu chochote una haki ya kuishi na kufata sheria za nchi wacha ujinga wewe kilaza

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wanadamu tunajifariji sana kwenye mahusiano.
Umefahamiana nae akiwa mkubwa tu mkapendana,
Mkaaminiana basi unabwaga manyanga na kuona kuwa ni muaminifu na hawezi kukusaliti.
Labda kama upo kwenye uhusiano na malaika pekee, Vinginevyo unajidanganya;
Ni upuuzi kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako
TAFAKARI

ukiishi kwa mashaka haya huchelewi kuwa chizi wa mapenzi,kwanini usiamini kuwa uko peke yako mpaka pale utapo gundua kuwa hauoko peke yako,kila mwanadam kaumbiwa mwenza wamaisha yake hakuna alie umbiwa kuwa single maybe uamue kuwa hivyo..Hata hivyo kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa kusonga ugali ndoman unapoumizwa usichoke kupenda na tena penda kama awali au zidi ya awali ulivyofanya..Trust in LOVE,Live in LOVE coz LOVE is our Religion
 
Unaonekana umeshajikatia tamaa mkuu,sio kweli kuwa kila mpenzi ni mchepuko,na ukiamini hivi hutakuwa na ndoa yenye amani,ni vizuri kuaminiana as long as hujamkuta ktk tukio lolote baya na huna ushahidi na uchepukaji wake "uaminifu ni nguzo kwny mahusiano"
 
Huu ndo ujinga wa Watanzania.

Hata kama hauko peke ndo ujilazimishe kuamini kitu ambacho sicho?

Really?

Sasa kwa nini ujilazimishe kuamini badala tu ya kuikubali hali halisi kuwa haupo peke yako?

Watanzania ni watu wa ajabu sana. (Najua nimesema Watanzania na nina maana yangu kusema hivyo)

Mkuu wewe ni mzaliwa wa nchi gani? Samahani sina nia mbaya,
 
Mi sina wasi wasi na hilo. Mi mkewangu nimemkuta bikra. Huwezi kunilazimisha kwamba naye yuko kama hao wa kwenu. Nina imani nae. Sina sababu ya kuamini kinyume kama sijamkuta kinyume.
Tena hao ndo wabaya maana wanataka kujua je, na mwingine hufanya kama wewe?
 
usimwamwini sana , mi ninachosema kila mtu anaweza kucheat akiwa kwenye mazingira yenye ushawishi ila sio kwel kua kila mtu anapenda kucheat
 
wewe utoto unakusumbuwa bado upo kwenye level ya kuombwa smartphone na hela huna umejichokea kwa nini usije kugeneralise wanawake humu?

wengine hatuko kwenye level hizo hatudeal na wasichana tunadeal na wanawake na wanajuwa nini wanachohitaji kwa mwanaume and we give what they deserve. life taste good pole yako unayempigia mpenzi wako simu anakwambia yuko kwa shangazi kumbe kalikalia boro la kidume ili ampe hela ya fiesta. mimi si wa viwango hivyo young boy.

Umenena vema saaaaana...!!
 
Hahahahaa aisee mbona unapull over mate? This is an anecdote I dont give it a damn, do u know who am I? You are trying to ail on me with madiocre argument..moron

inaonekana hili neno moron ndio umelijuwa mwaka huu kwenye kamusi, hayo ni maneno ya kingereza cha kale sana hata laboratory hayana kazi tena kid.
 
Umeona eeh, watu wanapenda kukatisha tamaa tu.

Mimi paw ni wangu peke yangu, na mimi ni wake peke yake. Mwenye ujasiri wa kusema amenishare na paw wangu ajitokeze hapa. Na mwanamke mwenye ujasiri wa kusema keshawahi kumpata paw wangu na aseme sasa!

naomba kuwakilisha
 
Back
Top Bottom