Brother you have no string points, ni assumptions tu zinazotokana na experience zako,. sio kila mtu ana experience zako
Huna haja ya wewe kuwa Mtabiri,
Hapa ni wewe kuleta hoja zenye mashiko ili kuziporomosha zakwangu,
Nje ya hapo utakuwa unatapatapa,
Elewa hakuna mahala nimesema nazungumza kutokana na uzoefu wangu kama ipo toa vielelezo.
By the way strong points gani hazina back up ya statistics?.Give us the stats to back up your strong points
Usijidharaulishe zaidi;
Hivi, kwani wewe umetoa vielelezo gani kuipa nguvu hoja ya ubishi wako?
Au hiyo ina-apply kwangu tu?
Pili, Unaonaje wewe ukazivunja hizo point zangu kwa point zako makini na badala yake kuacha kulalama?
Lakini pia Kwakuwa unadhani utafiti ni muhimu sana na hilo mimi sikupingi,
Twende kisasa zaidi, Pitia michango ya wadau mmoja baada ya mwingine katika Uzi huuhuu kisha weka hadharani matokeo kama yana ku-favor wewe tujue,
Lakini kama yanakupinga uweke wazi pia tena kwaherufi kubwa.
Angalizo:Mambo mengine huhitaji utafiti wa kuhoji watu kwa peni na makaratasi,
Zinduka ndugu!
la sivyo hizi ni porojo tu kama porojo nyingine tunazosikia kutoka kwa "mafundi wa mapenzi".
Zako ndio porojo zaidi.
You are entitled to opinions not facts.
Not I, (Plural pronoun 'We')-
'We are' entitled to our opinions as evidenced with strong, sufficient and credible facts as outlined above