Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako

Wanadamu tunajifariji sana kwenye mahusiano.
Umefahamiana nae akiwa mkubwa tu mkapendana,
Mkaaminiana basi unabwaga manyanga na kuona kuwa ni muaminifu na hawezi kukusaliti.
Labda kama upo kwenye uhusiano na malaika pekee, Vinginevyo unajidanganya;
Ni upuuzi kuamini kuwa uko pekeyako kwa mwenzako
TAFAKARI
Ni kweli kabisa.

Well said, hakuna jiko la peke yako dunia ya leo..

Very true...


Maneno ya mkosaji..

Au ndiyo akili ya kuambiwa nini?

Unajua ukiona vifo vingi sana hata thamani ya uhai inapungua.

Na katika mapenzi ukitendwa sana, uaminifu unapungua,kujiamini kunapotea kabisa kila unaemuona unahisi ni yule yule aliekutenda.!

Kunamazingira yanakufanya umuamini mpenzi wako, na pia kunamazingira yanakufanya kujenga wasiwasi, Ila jambo kubwa ni kuamini kama hauna imani hata kama utakuwa unamfungia ndani na asitoke nje kama haujaamua kujenga imani bado utajihisi hauko mwenyewe kama unavyosema.!
 
inferiority complex inakusumbuwa tu, kwa nini umuwazie mwenzako mabaya? aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea.
 
Nyaningabu siwezi kuendeshwa kwa hisia kua tupo wengi hali ya kua cjafanya upembuzi yakinifu juu ya hayo mazingira, unles i have satisfy myself that sipo peke yangu ntaamini hivyo, lakini si kwa kuges n so, nahitaji kuenjoy mapenzi kwa mapana yake, we kama umeprove mpo wengi then go ahead
 
Imani nilazima iwepo,na imani yangu ndio inayonifanya nijionekuwa sipo peke yangu!
Maneno ya mkosaji..

Au ndiyo akili ya kuambiwa nini?

Unajua ukiona vifo vingi sana hata thamani ya uhai inapungua.

Na katika mapenzi ukitendwa sana, uaminifu unapungua,kujiamini kunapotea kabisa kila unaemuona unahisi ni yule yule aliekutenda.!

Kunamazingira yanakufanya umuamini mpenzi wako, na pia kunamazingira yanakufanya kujenga wasiwasi, Ila jambo kubwa ni kuamini kama hauna imani hata kama utakuwa unamfungia ndani na asitoke nje kama haujaamua kujenga imani bado utajihisi hauko mwenyewe kama unavyosema.!
 
20% percent for disappointment........................much as I have not seen or even my sixth sense have not signaled......m bound to consider things are ok so far!!!!!!
 
Haijalishi alishakuwa na wangapi. Nitakapoanza nae mimi naamini ni mimi mtawala kipindi hicho maana tumekubaliana sisi wawili na hakuna kidokozi pembeni; hii inaniongezea raha katika mapenzi.
 
Mijitu mingi yenye kuleta mada kama hizi unakuta wana wivu uliopitiliza/wivu wa hali ya juu..kwa nini usimwamini mwenzi wako? wakati wewe mwenyewe ndiye ulimtongoza na kuoa kabisa? Sikubaliani na mtoa mada
 
kwa hiyo unachomaanisha ni wanaume wakapige wake zao bila sababu?
 
Mmmh, dizain kauzi kanakatisha tamaa kidogo... Anyway kuona ni kuamini, kama sijambamba na skendo yeyote ile, why should I bother. Mi naamini nipo peke yangu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Ulibikiri mkuu?
 
Mkuu sometimes silence is the best answer, y upoteze energy, kuna thread nyingi zinasubiri michango ya kujenga
 
Back
Top Bottom