Bila Rais Samia kuwadhibiti Mahakimu na Majaji pesa nyingi za umma zitaibiwa na watumishi mafisadi watashinda kesi kirahisi

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,126
4,169
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.

Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.

Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa kimazingira upo wazi. Majengo yanajengwa chini ya ubora. Kinachofuata ni mtumishi kusimamishwa kazi na akipelekwa mahakamani hashindi kesi.

Huko mahakimu ni kupindisha tu ukweli kwa kuwa wanakula rushwa.
 
Unasema ushahidi ya kimazingira??? Circumstantial evidence???

Circumstantial evidence in criminal cases must be collaborated with other pieces of evidence.

Huwezi kumtia mshashtakiwa hatiani kwa ushahidi wa mazingira.

Kwenye kesi za jinai, Jamuhuri inalazimika kuthibitisha mashtaka pasipo na chembe ya mashaka.

Hiyo ndiyo kanuni kuu katika haki jinai.

Ni kanuni kwamba ni Bora kuwaachia wafungwa 100 kuliko kumtia hatiani mtu mmoja kwa ushahidi wa mashaka.

Tatizo lipo kwa watumishi na wanasheria wa serikali kwa sababu kwanza, unakuta kazi za mikataba zinafanywa kienyeji then mambo yakiharibika ndipo mwanasheria anapelekewa, then mwanasheria naye anashindwa kujenga kesi kuishawishi Mahakama mwishowe mtuhumiwa anaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha.

Mahakama ni kama refa tu wa kufanya maamuzi kulingana na sheria na wale jamaa wamekula kiapo.

Kwa hiyo, kwa hili, kwanza wanasheria wa serikali wafanye kazi kwa weledi na pia serikali ifanye kazi kwa mujibu wa sheria, halafu tuone kama Mahakama itakuwa na lawama
 
Unasema ushahidi ya kimazingira??? Circumstantial evidence???

Circumstantial evidence in criminal cases must be collaborated with other pieces of evidence.

Huwezi kumtia mshashtakiwa hatiani kwa ushahidi wa mazingira.

Kwenye kesi za jinai, Jamuhuri inalazimika kuthibitisha mashtaka pasipo na chembe ya mashaka.

Hiyo ndiyo kanuni kuu katika haki jinai.

Ni kanuni kwamba ni Bora kuwaachia wafungwa 100 kuliko kumtia hatiani mtu mmoja kwa ushahidi wa mashaka.

Tatizo lipo kwa watumishi na wanasheria wa serikali kwa sababu kwanza, unakuta kazi za mikataba zinafanywa kienyeji then mambo yakiharibika ndipo mwanasheria anapelekewa, then mwanasheria naye anashindwa kujenga kesi kuishawishi Mahakama mwishowe mtuhumiwa anaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha.

Mahakama ni kama refa tu wa kufanya maamuzi kulingana na sheria na wale jamaa wamekula kiapo.

Kwa hiyo, kwa hili, kwanza wanasheria wa serikali wafanye kazi kwa weledi na pia serikali ifanye kazi kwa mujibu wa sheria, halafu tuone kama Mahakama itakuwa na lawama
Kwani shida iko wapi ? Lazima ushahidi urandane tu maana huwezi kupiga dili la kupaua kwa bati za gauge 28 wewe ukaweka gauge 32 alafu hapo ulete mbwembe zako za kisheria. Acha ushwaini
 
Ungekuwa karibu ningekupa zawadi.
Safi sana Wakili Msomi
Unasema ushahidi ya kimazingira??? Circumstantial evidence???

Circumstantial evidence in criminal cases must be collaborated with other pieces of evidence.

Huwezi kumtia mshashtakiwa hatiani kwa ushahidi wa mazingira.

Kwenye kesi za jinai, Jamuhuri inalazimika kuthibitisha mashtaka pasipo na chembe ya mashaka.

Hiyo ndiyo kanuni kuu katika haki jinai.

Ni kanuni kwamba ni Bora kuwaachia wafungwa 100 kuliko kumtia hatiani mtu mmoja kwa ushahidi wa mashaka.

Tatizo lipo kwa watumishi na wanasheria wa serikali kwa sababu kwanza, unakuta kazi za mikataba zinafanywa kienyeji then mambo yakiharibika ndipo mwanasheria anapelekewa, then mwanasheria naye anashindwa kujenga kesi kuishawishi Mahakama mwishowe mtuhumiwa anaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha.

Mahakama ni kama refa tu wa kufanya maamuzi kulingana na sheria na wale jamaa wamekula kiapo.

Kwa hiyo, kwa hili, kwanza wanasheria wa serikali wafanye kazi kwa weledi na pia serikali ifanye kazi kwa mujibu wa sheria, halafu tuone kama Mahakama itakuwa na lawama
 
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.

Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.

Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa kimazingira upo wazi. Majengo yanajengwa chini ya ubora. Kinachofuata ni mtumishi kusimamishwa kazi na akipelekwa mahakamani hashindi kesi.

Huko mahakimu ni kupindisha tu ukweli kwa kuwa wanakula rushwa.
Mambo hayo yanahitaji ujuzi wa sheria
 
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.

Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.

Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa kimazingira upo wazi. Majengo yanajengwa chini ya ubora. Kinachofuata ni mtumishi kusimamishwa kazi na akipelekwa mahakamani hashindi kesi.

Huko mahakimu ni kupindisha tu ukweli kwa kuwa wanakula rushwa.
Nyie ni wanafiki akitokea kiongozi kufany hivyo si mnakuwa wakali saba kuwa rais anaingilia mihimil mingine
 
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.

Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.

Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa kimazingira upo wazi. Majengo yanajengwa chini ya ubora. Kinachofuata ni mtumishi kusimamishwa kazi na akipelekwa mahakamani hashindi kesi.

Huko mahakimu ni kupindisha tu ukweli kwa kuwa wanakula rushwa.
Jaji mkuu kazi anayo weza ni kula na tu hiyo ilikuwa kazi ya jaji mkuu kucheki walio chini yake kama wanatenda haki
 
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.

Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.

Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa kimazingira upo wazi. Majengo yanajengwa chini ya ubora. Kinachofuata ni mtumishi kusimamishwa kazi na akipelekwa mahakamani hashindi kesi.

Huko mahakimu ni kupindisha tu ukweli kwa kuwa wanakula rushwa.
Unamuongelea nani?kama ni huyo bibi wa mipasho nae mpigaji balaaa
 
Unasema ushahidi ya kimazingira??? Circumstantial evidence???

Circumstantial evidence in criminal cases must be collaborated with other pieces of evidence.

Huwezi kumtia mshashtakiwa hatiani kwa ushahidi wa mazingira.

Kwenye kesi za jinai, Jamuhuri inalazimika kuthibitisha mashtaka pasipo na chembe ya mashaka.

Hiyo ndiyo kanuni kuu katika haki jinai.

Ni kanuni kwamba ni Bora kuwaachia wafungwa 100 kuliko kumtia hatiani mtu mmoja kwa ushahidi wa mashaka.

Tatizo lipo kwa watumishi na wanasheria wa serikali kwa sababu kwanza, unakuta kazi za mikataba zinafanywa kienyeji then mambo yakiharibika ndipo mwanasheria anapelekewa, then mwanasheria naye anashindwa kujenga kesi kuishawishi Mahakama mwishowe mtuhumiwa anaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha.

Mahakama ni kama refa tu wa kufanya maamuzi kulingana na sheria na wale jamaa wamekula kiapo.

Kwa hiyo, kwa hili, kwanza wanasheria wa serikali wafanye kazi kwa weledi na pia serikali ifanye kazi kwa mujibu wa sheria, halafu tuone kama Mahakama itakuwa na lawama
Hakuna kesi nyepesi kuthibitisha kama kesi za ufisadi ....ufisadi ndiyo kesi nyepesi kuliko zote kuzithibitisha ila tatizo ni jina ufisadi ni kama ugonjwa wenye kuambukiza kesi za namna hiyoo zinapo fika mahakamani ufisadi unatumika tena kukwamisha haki .
 
Back
Top Bottom