instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 346
Kwan uliwasiliana na Mungu ukaambiwa mwanaume ndo huyohuyo.. Acaha uchuro fanya mambo mengine au nipm nitakuhandle
Hahahahah kwenye msafara wa bata kuku nao wamo, miss you lakini
Ahhha nipo sema siku hizi ww nakuona shoga angu humtaki
nimefanya nini?
mmmh shoga ako sjui kapewa kitengo... siku hiz ye ndo full kuniletea pozi, ila mwisho wamwezi umefika atantafuta tu
si bora liwe la mavi unajua utaenda kulitua chooni kuliko gurushi la nyuki linakugeuka muda wowote na kukuachia maumivu na sumu kali
Daaah mi kidogo lakini, sio kama hao.... miss you mingi mingi, punguza ubusy
Ili ushanikera weye yaani sina hamu na wewe kabisaaa,mwanaume gani una mambo mengi kaa maji
nakusikia ujue
Ana mambo mengi kama super glue kila kitu kinagandisha
Women lies...
Men lies...
But life goes on
Women lie...
Men lie....
But life goes on
Mie naona superglue ina afazali, maji ndo balaa, kupikia, kuchambia,kuogea hahaha nk
Alafu wewe mtoto acha uongo....
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF