huo ni ushamba na ulimbukeni, kina dada badilikeni na mjiheshim
tatizo ni kwamba wakivaa hivyo wanaume wanawababakia kama wanaume wakiwaignore unafikri watavaa hivyo wataacha wenyewe. Maana wanajua hata wakivaa hakuna hata atakayewageukia.
huo ni ushamba na ulimbukeni, kina dada badilikeni na mjiheshim
naenda bafuni kidogo narudi.........
majina tu rafiki? angeandika na namba zao za simu kabisaaaaaaaaaaa ili kuwarahisishia, ha haaaa.ungeandika na majina yao basi.....
Wacha picha ziongee