Kuacha Mapaja Nje Ni Fashion?

mu.jpg
 
Bwana mdogo bigup sana wadada wa sasa na baadhi ya wamama wanaipotosha jamii wakidhani kufanya hivyo ndio maendeleo.Mwaume amapenda mwanamke anae jisitiri WANAWAKE ACHENI HIZO ,WAKAKA NA HELENI NA KUJICHUBUA ACHENI HIZO
 
Hiyo ni ishu tu ya kawaidi
hawa wanaweza wakawa ni biashara na ndio maana hujakuta
mapaja ya mwanaume hapo yakiwa yanaonyeshwa .Labda kama
binti anataka kumuonesha jamaa yake ktk sehemu husika huwezi
jua na lazima tujue kwamba picha hizo zilichukuliwa wakati gani.
 
Kinachonishanga hapa ni kitu kimoja! Mnaotamani ni nyie, mnaonunua ni nyie, mnaopenda kutazama mapaja ni nyie, wakosoaji ni nyie!!! sasa mnataka nini nyie wanaume???? mngekua hamvutiwi na mapaja unafikiri wacheyaacha bana? Du ila kiukweli ila picha ya kwanza hata Allen imekutoa mate inapofunguka! unatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango!

Hivo hivo wadada! Kip men nervous na vimoyo vyao vidunde dunde bana! wasijifanye wanakosoa kumbe wanapenda kuangalia
 
Back
Top Bottom