Njia ya kuacha punyeto

Njia ya kuacha punyeto

KIDO123

Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
21
Reaction score
32
Kama wewe ni mraibu wa nyeto na unataka kujitoa kwenye janga hilo kuna namna ya kujitoa sio rahisi wala sio ngumu kikubwa ni kuishinda nafsi yako. Kama wewe ulianza mchezo huo kwa sababu ya kuangalia video za ngono au kila ukiangalia hatma yake ni nyeto cha kufanya tafuta video kali zile upendazo ziwe nyingi za kutosha za maniga au wazungu mademu wale wanao kusisimua kama ulikua ukiangalia pekee yako fanya hivyo hivyo kaa sehemu tulivu unatakiwa kujiapiza kuwa hutapiga nyeto siku hio huu ni mchakato wa kuacha.

Angalia vya kutosha mpaka upate msisimko ule mkali. ukisha maliza jichanganye na marafiki kama mpenzi wa mpira kaangalie ila hakikisha upigi siku hio ukiweza kujidhibiti unaongeza nafasi kubwa ya kuacha nyeto.

Kuacha nyeto ni kuishinda nafsi yako sio kukwepa kuangalia video za ngono kila mara nafsi yako inakushinda na wewe ishinde ukiweza mara moja tu una nafasi kubwa ya kuacha.

Kuurudia mbinu hii mara nyingi zaidi basi wewe umerudisha kadi. hizo video hazita kubabaisha utaziangalia na hazikustui
 
Kwa nini raha yenyewe ni fupi sana?

Kwa sababu orgasm ni kama kilele cha mlundikano wa msisimko.
Fikiria hivi,
Msisimko unaongezeka ,unafika kileleni, orgasm alafu unashuka haraka mfumo wa neva hauwezi kudumisha hali hiyo ya juu kwa muda mrefu. Baada ya orgasm, mwanaume mara nyingi huingia kwenye kipindi kinachoitwa refractory period, ambapo mwili kwa muda hupunguza uwezo wa kufikia orgasm nyingine.

Sasa kwa hali hiyo mtu aache kweli pigeni wanangu.
 
Duu hapo mbona utawatoloka hao rafiki zako ukajifiche ili unyetuke upya
 
Kama wewe ni mraibu wa nyeto na unataka kujitoa kwenye janga hilo kuna namna ya kujitoa sio rahisi wala sio ngumu kikubwa ni kuishinda nafsi yako. Kama wewe ulianza mchezo huo kwa sababu ya kuangalia video za ngono au kila ukiangalia hatma yake ni nyeto cha kufanya tafuta video kali zile upendazo ziwe nyingi za kutosha za maniga au wazungu mademu wale wanao kusisimua kama ulikua ukiangalia pekee yako fanya hivyo hivyo kaa sehemu tulivu unatakiwa kujiapiza kuwa hutapiga nyeto siku hio huu ni mchakato wa kuacha.

Angalia vya kutosha mpaka upate msisimko ule mkali. ukisha maliza jichanganye na marafiki kama mpenzi wa mpira kaangalie ila hakikisha upigi siku hio ukiweza kujidhibiti unaongeza nafasi kubwa ya kuacha nyeto.

Kuacha nyeto ni kuishinda nafsi yako sio kukwepa kuangalia video za ngono kila mara nafsi yako inakushinda na wewe ishinde ukiweza mara moja tu una nafasi kubwa ya kuacha.

Kuurudia mbinu hii mara nyingi zaidi basi wewe umerudisha kadi. hizo video hazita kubabaisha utaziangalia na hazikustui
Kiukweli video na picha za ngono nowadays nimetokea kizichukia sana aisee na nyeto unakuwaje mraibu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom