HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 109
Hao wagaidi wana interest gani kwenye hayo malipo mpaka watishie kuwa watalipoa waandamanaji?
leo alshabaab,kesho atapata sababu nyigine maandmano haya hayatakiwi,
nasi tujiulize sababu ipo,je hakuna kitu kingine muhimu kuandamana ni dowans tu.naamini kila siku serikali inalipa malipo haramu mengi tuu.tunalialia dowans miaka nenda.tifungue macho tuache kuwa makasuku na dowans
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!!
Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns.....
Eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...
Source Radio Wapo FM.....
Najisikia kuanza kulia.....
Magamba mna wasiwasi gani kwa maandamano haya wakati mnaungwa mkono na watanzania 62%? Mbona mnajishuku kula uchao? Hiyo vurugu ataileta nani?Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !
Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !