Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,042
- 7,474
Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !
Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !
Acha ujinga we mzee!,kabla hawajalipwa waseme kwanza DOWANS ni nani.Samahnai kama kuna wanaojuwa,mimi sijui dowans ni nani.Mnajaribu kupinga kisichopingika, Dowans lazma ilipwe.
Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !
Mnajaribu kupinga kisichopingika, Dowans lazma ilipwe.
He is right you know............huyu mmiliki ni Al Shabab kabisa
![]()
Kuna uhusiano gani wa kulipwa doainzi na Al Shabaab?!! Ifike muda watawawala wetu wawe wanafikiri kwa kutumia bongo zao badala ya kuendelea kutumia nyayo zao kufikiri!!!!! Shwine kabisa
Hivi Al shabab walipolipua kenya kulikuwa na maandamano, naomba kujulishwa.
Kwa hilo na Mechi ya Simba na Yangu ifutwe maana pale kutakuwa na zaidi ya watu 60,000:hatari:Si jana tu bosi wake kasema kwamba wamejidhatiti kukabiliana na Al-shabab?!
Tatizo Kova anapenda sana kucheza na jukwaa; huyu mjomba toka yuko Mbeya alikua anapenda sana kucheza na media..sasa kwa vile anajua kila mTZ ana habari ya hayo maandamano anataka apate airtime kidogo hapo..
Chengachenga avator yako nimeipenda daaaaah, karibu jukwaani!nimeelewa tofauti! duh haya tu.