Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Ndoa ni muhimu lakini siyo lazima maana si kila lenye umuhimu lina ulazima

Halafu wabongo tungekuwa tunalazimishana kuingia kwenye fursa kama tunavyolazimishana kuingia kwenye ndoa basi tungekuwa mbali sana

Ila bahati mbaya mbongo hata siku moja hawezi kukulazimisha ufanye jambo ambalo litakunufaisha kama/kuliko yeye

Ukiona mbongo anakulazimisha sana kufanya jambo ujue hilo jambo halina faida sana na anataka tu upate matatizo kama aliyoyapata yeye alipolifanya
Umejuaje hili mkuu ?
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
:oops::rolleyes:
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
...Mmekazana! Miaka Sita watoto Watatu! Pongezini
 
Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Aisee
 
NUKUU YA NABII/MFALME SULEIMAN.

Mhubiri 1:1-18

1. Maneno ya Mhubiri
, mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu
2. Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.
3. Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?
4. Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.
5. Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa maawio yake.
6. Upepo huvuma kusi, hugeuka kuwa kaskazi; hugeuka daima katika mwendo wake, na upepo huyarudia mazunguko yake.
7. Mito yote huingia baharini, walakini bahari haijai; huko iendako mito, ndiko irudiko tena.
8. Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.
9. Yaliyokuwako ndiyo yatakayokuwako; na yaliyotendeka ndiyo yatakayotendeka; wala jambo jipya hakuna chini ya jua.
10. Je! Kuna jambo lo lote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.
11. Hakuna kumbukumbu lo lote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lo lote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.
12. Mimi, Mhubiri, nalikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.
13. Nikatia moyo wangu ili kuyatafuta yote yanayotendeka chini ya mbingu, na kuyavumbua kwa hekima; ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.
14. Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.
15. Yaliyopotoka hayawezi kunyoshwa,
Wala yasiyokuwapo hayahesabiki.
16. Nikatafakari nikisema, Nimejipatia hekima nyingi kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; naam, moyo wangu umeona kwa wingi hekima na maarifa.
17. Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kujilisha upepo.
18. Yaani,
Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;
Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Ulimchunguza kabla ya kumuoa ? au ndio katika ile mambo ya kuwahi haraka haraka ili asichukuliwe na wengine,kuja kutahamaki tayari watoto wameshafika watatu...
 
Hahha,,,,na nyie
Nkundi Mzutu Wa Baiskeli Anapogonga Nyundo Wahindi
Wasema Ni Kelele, Mtafutieni Nyundo Ya Silencer Aondoe Hizo Kelele
Na magai yenu, mishipige honi waya mishele....hapo titaelewana
 
Kuna jamaa yangu, mke wake alimsumbua sana, nilimpa ushauri ambao leo ananishukuru sana, nilimwambia aende mahakani afanye process zote za talaka huku anamuangalia mwenendo wake, alifumgua shauri la kumpa talaka mke wake, mke wake hakuamini siku analetewa wito wa kufika kwenye shauri, alilia sana.

Alipungua uzito mpaka huruma ilinijia ila nilimwambia dogo komaa hawa watu sio wakiwaonea huruma kirahisi hivyo, shauri liliendelea mpaka talaka ikatoka siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwa mwanmke alizimia, hakuamini walikuja ndugu kibao wa mwanamke kumuombea msamaha.

Basi tuliongea na hakimu tukamweleza tunaomba mahama ihold hukumu wakati tunafuatilia mwenendo wa mke wake, mahakama ilikubali, mpaka leo mwamke amebadilika sana sana.

Sikushauri sana hili ila wewe angalia la kufanya
Mwanamke sio wakuweka matazamio wana uwezo wakufucha tabia zao kwa mda mrufu hata miaka 10, anakuja kukutesa badaye hata nguvu za kuenda mahakamani huna, wanawake hawabadilikagi ila wa nafichaga tabia dawa ya mwana mke ziko tatu tu, kumvumilia kumuacha au kumtelekeza na kuoa mgine tu.
 
Asipokuonea wivu wewe unataka akamuonee wivu nani???????

Kiburi na mengine mbona ya kawaida ni kujua namna ya kuishi nae na kuignore

Kumbuka hata wewe una mapungufu yako anayamezea tu!!
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom