Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Pole, yalinipata mpaka nilichanganyikiwa, nilimpeleka mahakamani, hakimu akamuuliza mke wangu kama bado anahitaji ndoa, eti akasema bado ananitaka, hakimu akamwambia labda anania na kitu kingine ila sio ndoa. Maana hakimu (tena ni mwanamke) alimshangaa mwanamke mwenzake kwa yale anayoyafanya kwenye ndoa, mwishoalitoa hukumu ya kuvunja ndoa. Mpaka nimenenepa aisee, mwanamke anakutesa mpaka uwaza kutenda jinai
 
Ukioa wa pili utakosea zaidi cha kukushauri tengana nae tu ishi single na ulee wanao tu, Hawa wanawake wa sasa wasioridhika japo tu kwa uumbaji wa MUNGU aliewapa kucha,Rangi,Nywele na maumbo mazuri lakini wanaishia kwenda kujibadili na kuweka feki, Yaani ashindwe kuridhika na yote MUNGU aliyomfanyia ndo Leo aje aridhike na anachomfanyiwa na Mumewe? mwisho wa siku ni Mgogoro tu.

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Mtafute MUNGU wa kweli ukimpata utaridhika lahsivyo sahau kuridhika, Duniani tunapita tu imagine Kila kitu utakachotaka Sasa hivi unakipata, Je, unafikiri utakuwa na furaha??? hapana, hii ni kwa sababu utakuwa overstressed kwa ajili utakuwa ukiwaza tu Kuwa kilichobaki ni kifo Jambo ambalo laweza kukunyima raha kabisa.

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Huwa anaonesha gubu na kiburi ukimfanyia nini?ama ni kila siku zote na muda wote yuko hivyo?

Miaka sita ni mingi kumvumilia mtu wa namna hiyo....
 
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa

Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu

Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu

Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia

Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa

Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Ukimuacha, watoto watalelewa na Nani? Umeona mapungufu yake wewe huna mapungufu???

Kesi hii haiwezi kuamuliwa kwa malalamiko ya upande mmoja!

Madhara ya kuachana yatawakuta watoto ambao ugomvi wenu wala hauwahusu!
 
Mtafute MUNGU wa kweli ukimpata utaridhika lahsivyo sahau kuridhika, Duniani tunapita tu imagine Kila kitu utakachotaka Sasa hivi unakipata, Je, unafikiri utakuwa na furaha??? hapana, hii ni kwa sababu utakuwa overstressed kwa ajili utakuwa ukiwaza tu Kuwa kilichobaki ni kifo Jambo ambalo laweza kukunyima raha kabisa.

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
Ukishakuwa na hela unaanza kuwaza kuhusu afya yako na namna ya kukiepuka kifo.yaani mtu angenunua kutokufa.
Maiko Jackson alikuwaga na 8 doctors wa kumuangalia afya kila mtu idara yake Ila still hatunaye
 
Mie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Umeeleweka
 
Back
Top Bottom