Haha mkuu ungeuliza tu swali ukatulia kusubiri jibuMleta Mada Kabila gani shemeji ??
Frankly asking out of curiousity, no
Offence.
Kuna kitu nitasema il nijibu kwanza
31 watoto 2 mama tofauti na wote mama zao hawapo wich means nipo single.Funguka ,kivipi?
if you are offended to this extent, the problem is you.Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Yaani home and away kabisaMr Liverpool anazidi kujizolea points tuu
Pole punguza hasira wanawake wa kizazi hiki kila kona matatizo hayo hayoWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Duh, watu mna ushauri mbaya!Mpandishe cheo awe Mke Mkubwa
Mkuu ukiona mke anakuwa na gubu, kiburi, makasiriko ya hapa na pale, hasira tambua kuwa haumkazi inavyotakiwa aisee.Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
Hivi neno gubu maana yake niniUnaonekana una hasira sana mkuu,pole sana!! Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mtu mwenye gubu na kisirani
Ukute hilo jamaa halitulii nyumbani kila siku kukimbizana na michepuko, kwa nini mke asiwe na kiburi? Linafikri kuacha hela ya mboga na matumizi mengine ndiyo halali ya mke! Kwani kwao alikuwa hali ugali? Ndoa siyo misosi tu dogo jiongeze! Tutakugongea mwisho wa siku!Mkuu ukiona mke anakuwa na gubu, kiburi, makasiriko ya hapa na pale, hasira tambua kuwa haumkazi inavyotakiwa aisee.
Unajua marginal utility wewe umezungukaka sana ila upo humu kwenye marginal utility, utaipata katika uchumi kasomo vitabu vya uchumi au Google nini maana ya marginal utilityMie mkuu amani yangu haipo kuwa na mke Bora Bali kuwa na utajiri.
Nimeoa Ila kuoa ama family sio priority kivile kwangu. Mana naona hata nikizaa naleta watt duniani kwenye dunia iliyojaa mihangaiko ya maisha mpaka kero.
Smt huwa sioni purpose ya kuishi. Sawa hela pata afu ni starehe tu nazo utachoka tu najua.
Utakula ,utatembea na kila binti wa kila rangi,utalala kila hotel nzuri unayojua Ila still you won't get satisfaction in life.
Yaani hata uwe na mke sijui Kama malaika Ila sidhani our happiness is being tied to external stuffs Mana huwa inaisha ndani ya mwaka tu.
Mfano ukinunua ndinga ya ndoto yako baada ya muda utaanza kuiona Kama ni kawaida nothing new.
Ukijenga ukaishi kwako baada ya muda unaona hakuna Cha Mana,
Ukiwa na mipesa hata mabilioni utaizunguka dunia yote utachoka Mana ukienda Kama majiji kadhaa baadaye hasahasa utapiga picha Kama show off Kama wewe ni dizaini iyo.
Ila still external things won't fulfill your purpose hapa duniani.
Hii kitu plz Kama Kuna mtaalamu naomba anisaidie.
Tunafuta pesa tukijua tutakua na furaha Ila bado tu ukizipata iyo furaha hutoiona.
Hasahasa utajenga nyumba na ukiwekamo vitu vya anasa huko ndani Ila later am sure utaiona Kama ni kawaida.
Utatembelea kila gari Ila still moyo utarudi utakuambia kuwa you're normal human being.
Ila still tunatafuta vitu tukidhani may be they'll satisfy our internal happiness and peace.
Ulimpeleka mahakama ipi mahakama ya mwanzo? na mimi nikamfukuzie wangu huko maana hichi kizazi jeuri sanaPole, yalinipata mpaka nilichanganyikiwa, nilimpeleka mahakamani, hakimu akamuuliza mke wangu kama bado anahitaji ndoa, eti akasema bado ananitaka, hakimu akamwambia labda anania na kitu kingine ila sio ndoa. Maana hakimu (tena ni mwanamke) alimshangaa mwanamke mwenzake kwa yale anayoyafanya kwenye ndoa, mwishoalitoa hukumu ya kuvunja ndoa. Mpaka nimenenepa aisee, mwanamke anakutesa mpaka uwaza kutenda jinai
Yesu baba hapo hujakosea, kuna msemo unasema Yesu ndiyo njia na ukweli sioMtafute MUNGU wa kweli ukimpata utaridhika lahsivyo sahau kuridhika, Duniani tunapita tu imagine Kila kitu utakachotaka Sasa hivi unakipata, Je, unafikiri utakuwa na furaha??? hapana, hii ni kwa sababu utakuwa overstressed kwa ajili utakuwa ukiwaza tu Kuwa kilichobaki ni kifo Jambo ambalo laweza kukunyima raha kabisa.
Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
Ewaaaaa kelele za mwanamke hata Mungu anazijua yani mpogo hivyo tuMithali 25:24:-Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini , kuliko kukaa katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.
Hivyo katika hili mwamzi wa kweli ni wewe mwenyewe.
Kwa hiyo kama avumiliki unataka avumilie kwani amekuwa mama yake? Nyie ndiyo mliyofungwa na madawa/malimbwata!Kama umeshindwa kuvumilia udhaifu wake amini nakuambia utaoa kila mwaka na ipo siku utatamani umrudie hakuna mwanadamu asiye na kasoro, utakaye muoa atakuwa hana kiburi ila ni mzinzi, utamwacha utaoa mwingine asiye na kiburi Wala uzinzi ila ni mchoyo na mchafu, utamwacha utaoa mwingine hadi utakufa una msururu