Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Hahahahaha, Deskmate njo ujibu hapa tafadhali. lolesthehehe kumbee?? Atakuwa anawahi cha asubuhi tu huyu.
Atakuja tu... ila akija anaweza kuuliza ni kipi hasa kimekuangusha, bora uanze kupanga maneno yako.to be honest am ready to wait!yani am so down for her/him.
Andaa na kashahiri, nadhani yuko sensitive kwa mistari ya kutulia... quality matters maana na yeye si mdogo.