Kongosho:Am so down for you

hehehe kumbee?? Atakuwa anawahi cha asubuhi tu huyu.
Hahahahaha, Deskmate njo ujibu hapa tafadhali. lolest

to be honest am ready to wait!yani am so down for her/him.
Atakuja tu... ila akija anaweza kuuliza ni kipi hasa kimekuangusha, bora uanze kupanga maneno yako.
Andaa na kashahiri, nadhani yuko sensitive kwa mistari ya kutulia... quality matters maana na yeye si mdogo.
 
Hahahahaha, Deskmate njo ujibu hapa tafadhali. lolest


Atakuja tu... ila akija anaweza kuuliza ni kipi hasa kimekuangusha, bora uanze kupanga maneno yako.
Andaa na kashahiri, nadhani yuko sensitive kwa mistari ya kutulia... quality matters maana na yeye si mdogo.

kwenye shairi wala sina tabu nitacopy and paste ile ya klorokwini.
 
Back
Top Bottom