Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ameanza Jerry silaa.. simuelewi
Utamuelewaje iwapo ndiyo wale Esther ametoka kuwasema -- kujipa ufahari? Wakati manispaa yake inanuka kwa uchafu (angalia Ilala sokoni etc) yeye anapamba traffic roundabout za Uhindini, na kuweka mabango makubwa katikati lenye picha yake na maamdishi yakesema amedhamiria kuboresha halamashauri hiyo. Kuboresha kwa kupamba roundabout za Uhindini?
huyu ni mbinafsi sana!