Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Atacheza na Orlando Pirates, mechi moja Dar na nyingine South Afrika.
Then atarudi kutafuta nafasi ya pili katika Ligi Kuu maana ya Yanga hili Kombe mwaka huu ni letu. Hilo halina mpinzani.
Nasema hivi. SIMBA HAWAVUKI ORLANDO PIRATES. PIGA UA. HILI WATAALAMU WAMELIFANYIA KAZI MAPEMA. Ile match ya last week kuna uzembe ulitokea ndo poneaponea ya Simba. Sasa tumeanza ku-deal na Dimba la Mkapa. Na hawa Orlando si wabishi kama wale wapuuzi wengine waliofungwa nne.
PIGA UA GARAGAZA MATCHES MBILI TU KATIKA ROBO FAINALI. THEN JAMAA WANARUDI KUSUMBUANA NA RUVU SHOOTING NA MBEYA KWANZA.
Then atarudi kutafuta nafasi ya pili katika Ligi Kuu maana ya Yanga hili Kombe mwaka huu ni letu. Hilo halina mpinzani.
Nasema hivi. SIMBA HAWAVUKI ORLANDO PIRATES. PIGA UA. HILI WATAALAMU WAMELIFANYIA KAZI MAPEMA. Ile match ya last week kuna uzembe ulitokea ndo poneaponea ya Simba. Sasa tumeanza ku-deal na Dimba la Mkapa. Na hawa Orlando si wabishi kama wale wapuuzi wengine waliofungwa nne.
PIGA UA GARAGAZA MATCHES MBILI TU KATIKA ROBO FAINALI. THEN JAMAA WANARUDI KUSUMBUANA NA RUVU SHOOTING NA MBEYA KWANZA.