Droo ya kombe la mabingwa Africa na kombe la shirikisho Afrika itachezeshwa leo Oktoba 6, 2023

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,747
Timu za Simba na Yanga zitawajua wapinzani wao katika makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupitia droo itakayochezeshwa leo jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Droo za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika inachezeshwa leo saa 9:00 alasiri kwa saa za Afrika Kusini na saa 10:00 jioni kwa saa za Tanzania.

Hatua hii ya droo ni baada ya timu zote kufanya vizuri kwenye hatua ya awali katika mashindano yote (Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika) isipokuwa mabingwa Al Ahly (Ligi ya Mabingwa) na USM Alger (Shirikisho) wakianzia katika makundi.

Kitendo cha Simba na Yanga kuwekwa katika vyungu tofauti katika zoezi la upangaji wa makundi, linazua uwezekano mkubwa wa wawakilishi hao wa Tanzania kukutana katika hatua hiyo msimu huu.

Kwa mujibu wa kanuni za mashindano hayo, kila kundi litaundwa na timu moja moja kutoka kila chungu kati ya vinne ambavyo vitakuwepo katika uchezeshaji wa droo na hakuna zuio kwa timu za nchi moja kukutana.

Source
Mwananchi.
 
Ac
Timu za Simba na Yanga zitawajua wapinzani wao katika makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupitia droo itakayochezeshwa leo jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Droo za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika inachezeshwa leo saa 9:00 alasiri kwa saa za Afrika Kusini na saa 10:00 jioni kwa saa za Tanzania.

Hatua hii ya droo ni baada ya timu zote kufanya vizuri kwenye hatua ya awali katika mashindano yote (Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika) isipokuwa mabingwa Al Ahly (Ligi ya Mabingwa) na USM Alger (Shirikisho) wakianzia katika makundi.

Kitendo cha Simba na Yanga kuwekwa katika vyungu tofauti katika zoezi la upangaji wa makundi, linazua uwezekano mkubwa wa wawakilishi hao wa Tanzania kukutana katika hatua hiyo msimu huu.

Kwa mujibu wa kanuni za mashindano hayo, kila kundi litaundwa na timu moja moja kutoka kila chungu kati ya vinne ambavyo vitakuwepo katika uchezeshaji wa droo na hakuna zuio kwa timu za nchi moja kukutana.

Source
Mwananchi.
Acha nichaji kabisa simu ijae chaji
 
Nahisi Kuna watu Huwa wanalipwa hapa Jukwaani JJJFFF Kwa kipost Nyuzi.

Kuna watu Kila Baada ya Dakika Ni kipost tu.

Mbona akuna Uzi unaoelezea Droo ya Leo.

Hawa WAPUMBAFU watatu wanalipwa.
GENARA.
GE.......
NA..............
LA......................
 
Ulidanganywa na nani kuwa Al ahly na USM Alger wanaanzia makundi?

Al ahly kacheza dhidi ya St. George ya Ethiopia na kupita kwa aggregate ya 7 : 0 ambapo ugenini alishinda 3: 0 na nyumbani akishinda 4 : 0.

Al Ahly alianzia hatua ya pili ya mtoano kama ilivyo kwa Simba na timu baadhi.

USM Algier walicheza na Fus Rabat ya Morocco na kupita kwa faida ya goli la ugenini (1 : 1) katika kombe la shirikisho, ambapo nyumbani walimaliza bila kufungana ( 0 : 0)

Msiwe mnaleta uongo
 
Nahisi Kuna watu Huwa wanalipwa hapa Jukwaani JJJFFF Kwa kipost Nyuzi.

Kuna watu Kila Baada ya Dakika Ni kipost tu.

Mbona akuna Uzi unaoelezea Droo ya Leo.

Hawa WAPUMBAFU watatu wanalipwa.
GENARA.
GE.......
NA..............
LA......................
Halafu threads nyingine ukiangalia unasema hiiiiiiiiiii!?
 
Back
Top Bottom