Ban hata sasa naweza pigwa si issue kubwa. Bila viatu nlitembea sikuvunja ahadi.Ban kweli ulipigwa, na tuliweka ushahidi hapa. Lakini hujatuonyesha kapicha wakati unatembea bila viatu 😂😂😂
Ila ndo tunaongoza ligi kwa points zaidi ya 10.....Saa nyingine inabidi tuwaonee huruma tuu utopolo, tunadili na watu wenye msongo wa mawazo saana. Miaka minne hamjafanya chochote mpo mpo tuu. Poleni utoporo.
Huu wivu ni wa kiwango kizuri tu.Atacheza na Orlando Pirates, mechi moja Dar na nyingine South Afrika.
Then atarudi kutafuta nafasi ya pili katika Ligi Kuu maana ya Yanga hili Kombe mwaka huu ni letu. Hilo halina mpinzani.
Nasema hivi. SIMBA HAWAVUKI ORLANDO PIRATES. PIGA UA. HILI WATAALAMU WAMELIFANYIA KAZI MAPEMA. Ile match ya last week kuna uzembe ulitokea ndo poneaponea ya Simba. Sasa tumeanza ku-deal na Dimba la Mkapa. Na hawa Orlando si wabishi kama wale wapuuzi wengine waliofungwa nne.
PIGA UA GARAGAZA MATCHES MBILI TU KATIKA ROBO FAINALI. THEN JAMAA WANARUDI KUSUMBUANA NA RUVU SHOOTING NA MBEYA KWANZA.
Hongereni utooooo Kwa kuwa mabingwa naona mnaona ajabu kweli mwaka huu kua mabingwa it's been too long u know four years since.Ila ndo tunaongoza ligi kwa points zaidi ya 10.....
Uzembe kaufanya wakina nani? Wachezaji wa USGN au waganga wako au wewe mwenyewe? Hivi navyo ni vituko aiseeBan haiwezi nipa hasira..sometimes huwa naitafuta tu. Pesa yangu inaniuma sababu tu ya uzembe flani. Ila this time hakutakuwa na makosa....
Ukimaliza ya Simba embu tuwekee na Yanga atafika wapi kwenye Mapinduzi Cup ya mwaka huu.Atacheza na Orlando Pirates, mechi moja Dar na nyingine South Afrika.
Then atarudi kutafuta nafasi ya pili katika Ligi Kuu maana ya Yanga hili Kombe mwaka huu ni letu. Hilo halina mpinzani.
Nasema hivi. SIMBA HAWAVUKI ORLANDO PIRATES. PIGA UA. HILI WATAALAMU WAMELIFANYIA KAZI MAPEMA. Ile match ya last week kuna uzembe ulitokea ndo poneaponea ya Simba. Sasa tumeanza ku-deal na Dimba la Mkapa. Na hawa Orlando si wabishi kama wale wapuuzi wengine waliofungwa nne.
PIGA UA GARAGAZA MATCHES MBILI TU KATIKA ROBO FAINALI. THEN JAMAA WANARUDI KUSUMBUANA NA RUVU SHOOTING NA MBEYA KWANZA.
Anachukua Ubingwa. Hakuna Ubingwa Yanga ataacha Mwaka Huu . HakunaUkimaliza ya Simba embu tuwekee na Yanga atafika wapi kwenye Mapinduzi Cup ya mwaka huu.
Atacheza na Orlando Pirates, mechi moja Dar na nyingine South Afrika.
Then atarudi kutafuta nafasi ya pili katika Ligi Kuu maana ya Yanga hili Kombe mwaka huu ni letu. Hilo halina mpinzani.
Nasema hivi. SIMBA HAWAVUKI ORLANDO PIRATES. PIGA UA. HILI WATAALAMU WAMELIFANYIA KAZI MAPEMA. Ile match ya last week kuna uzembe ulitokea ndo poneaponea ya Simba. Sasa tumeanza ku-deal na Dimba la Mkapa. Na hawa Orlando si wabishi kama wale wapuuzi wengine waliofungwa nne.
PIGA UA GARAGAZA MATCHES MBILI TU KATIKA ROBO FAINALI. THEN JAMAA WANARUDI KUSUMBUANA NA RUVU SHOOTING NA MBEYA KWANZA.
Topic za hovyo huwa nazitupa kule. Hiki ni chakula cha haters,GTs tuna deal na mambo yetuKwani OKW BOBAN SUNZU hajaiona hii?
Ubingwa pekee wa Yanga msimu huu ni NBC Premier LeagueAnachukua Ubingwa. Hakuna Ubingwa Yanga ataacha Mwaka Huu . Hakuna
Sio kweli, acha kudanganya. Mbona mwaka jana sisi Utopolo tulicheza na Rivers na tukapigwa ndani na nje. Au hiyo Rivers ilikuwa ni mito ya Riverside Ubungo? Nyie Simba mnatuonea sana Utopolo. 😤Utopolo mnaumia sana yaani mwaka wa 4 huu timu ya maana mliyocheza nayo ni Somalia
Mpira unadunda angalieni msije mkafukizana pale matopeni.Ubingwa pekee wa Yanga msimu huu ni NBC Premier League
Matopeni ni pale Jangwani karibu na ule mfereji wa Maji machafu uliojaa vyura. Sisi tukifukazana kwa ajili ya kuingia Robo fainali, wale walioishia raundi za awali wakapigwa nje ndani watafanyaje sasa?Mpira unadunda angalieni msije mkafukizana pale matopeni.