Komando wa kike Jeshini

Komando wa kike Jeshini

Tukiwa tunajiandaa kuangalia maonyesho mbalimbali ya majeshi yetu na mbwembwe na ukakamavu wa makomando wetu ktk sherehe za Muungano unapotimiza miaka 50 mwaka huu.
Hivi huko jeshini wapo Makomando wa kike wanaoruka na kuvunja matofali kama wale wakiume?

unataka uoe nenda uwatafute mimi hata siwajui na siwezi vunja matofali
 
Tusijidharau watanzania mbinu za kimafunzo kati yetu na hao majeshi ya nje nadhani ni yaleyale tofauti labda technology tu kama ya Waisrail na America labda hatuna.
 
Komandoo mimi hapa nakula mpaka misumali na kokoto nini kupasua matofali mdobwedo yale
 
Hakuna komandoo wa kike Tanzania. Hii ninayokuambia ni kutoka jikoni. Labda komandoo wa kike mtaani ambaye ni Lady Jdee.
 
Hakuna commando wa kike mkuu

Na hii sio Tanzania ni dunia nzima
Source tafadhali sio unakurupuka tu. Nimeshindwa kuweka link ila unaweza kuingia google ukaandika female commandos
 
Jesh lenye ufanisi mkubwa africa mashariki,jesh linaongoza opareshen nying africa,jesh liloshirik kukomboa nnch nying africa,siaamin kwa jinsi inavyoshirik harakat mbal mbal huko nnje wanaweza wakawa wana muda wa kuwaza kuvunja matofali,naiman watakuwa na kitu tofauti,hasa zama hizi ambazo majesh mengne yanarusha ndege za vita bila ruban,sidhan kama tutashudia scene hata moja ya matofali
 
1366640504_women-commando.jpg

580577_431540213635611_1291203959_n.jpg

1896812_592520097492074_1352807456_n.jpg

1976914_220161934847110_417596987_n.jpg

15d6bf3f-4596-4a01-b4b4-7974b4a301fe.jpg
 
First woman wins Marines'
green beret:

By Auslan Cramb and Michael Smith
12:01AM BST 01 Jun 2002
Military history was made yesterday when a
female soldier won the green beret of the
Royal Marines.
Capt Philippa "Pip" Tattersall, 27, completed
the eight-week commando course, regarded as
one of the toughest military tests in the world,
at her third and final attempt ....... First woman wins Marines' green beret - Telegraph
 
Back
Top Bottom