Komando wa kike Jeshini

Komando wa kike Jeshini

hivi kupasua tofali kwa kichwa ndio ukomandoo.. ? wana mazingaumbwe wakina power mabula waliokuwa wanakanywaga na gari kifuani tuwaiteje sasa..maana ni zaid ya komandoo
 
hivi kupasua tofali kwa kichwa ndio ukomandoo.. ? wana mazingaumbwe wakina power mabula waliokuwa wanakanywaga na gari kifuani tuwaiteje sasa..maana ni zaid ya komandoo

Mbona Watanzania tunapenda kujidharau?
Ina maana huamini uimara wa mafunzo wa jeshi letu?
 
Makomandoo wa kike wapo tena ni wengi tu!labda mjiulize komandoo ni mtu wa namna gani?na unahitaji sifa zipi?ili ujiunge na mafunzo hayo,sio unapinga tu!.
 
Nilishawai kuwauliza makomandoo kwenye maonesho yao pale saba saba mwaka juzi, wamesema duniani kote hakuna komandoo wa kike na hii ni sababu ya mfumo wao wa kimwili jinsi ulivyo ni vigumu kuhimili mazoezi yake, kwani ni magumu sana, wamesema wao kama makomandoo wanapata training karibu mataifa yote makubwa ulimwenguni, huwa wanatawanywa, lakini ukiuliza kote huko hakuna komandoo wa kike
 
Sasa kambi ya zanzibar ni ya nini? Ni kambi ya JWTZ lakini ina kazi maalum. Ingekuwa si kinyume cha sheria na viapo ungepata hints zaidi.

Sasa Kwa Ulichotuambia hapa Si Tayari Umeshakivunja Hicho Kiapo Chako Ulichokula?????? au???????
 
1366640504_women-commando.jpg

580577_431540213635611_1291203959_n.jpg

1896812_592520097492074_1352807456_n.jpg

1976914_220161934847110_417596987_n.jpg

15d6bf3f-4596-4a01-b4b4-7974b4a301fe.jpg

Full mzuka halafu wazuri
 
wengi wa wanawake sio wavumilivu, hawawezi kufuzu ukomandoo! hawatunzi siri...pia miili yao haiwezi kuhimili mafunzo ya ukomandoo

Acha Hizo Mbona Wanaweza Kuhimili MITALIMBO au MIJUGUJU au MIHOGO Ya Nchi 8 hadi 9 Ya Wanaume hao hao Tena Wengine Ni Makomandoo na Hata Sisi Tusio Makomandoo?
 
Nilishawai kuwauliza makomandoo kwenye maonesho yao pale saba saba mwaka juzi, wamesema duniani kote hakuna komandoo wa kike na hii ni sababu ya mfumo wao wa kimwili jinsi ulivyo ni vigumu kuhimili mazoezi yake, kwani ni magumu sana, wamesema wao kama makomandoo wanapata training karibu mataifa yote makubwa ulimwenguni, huwa wanatawanywa, lakini ukiuliza kote huko hakuna komandoo wa kike

Ananilea Nkya, Hellen Kijombi Simba na Ussu Malya Hawa Ndiyo Makomandoo Pekee Wa Tanzania Waliohitimu Mafunzo Yao ktk Vyuo Vya Kuratibu Migomo Ya Kijinga na Ya Kutaka Sifa na Umaarufu..........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu TISS hawatoi kozi ya commando. To my knowledge kambi pekee inayotoa Special tactics and commando course ni 92kj ngerengere

Bahati mbaya viungo vimeshakomaa natamani sana ningekwenda kozi hizo halafu mwanaume akinichokiza tu nampa vitasa hadi atajiuliza mie mtu au roboti na ningejitahidi kufanya the best . Yani hapa damu inanisisimka.ningeshika silaha nisingerudisha chini bila kutumika ipasavyo.
 
Bahati mbaya viungo vimeshakomaa natamani sana ningekwenda kozi hizo halafu mwanaume akinichokiza tu nampa vitasa hadi atajiuliza mie mtu au roboti na ningejitahidi kufanya the best . Yani hapa damu inanisisimka.ningeshika silaha nisingerudisha chini bila kutumika ipasavyo.

Hahaha kweli wewe ni "Iron lady". Salute to you comrade !
 
Kwa Tanzania sina hakika ila kwingineko duniani makomandoo wa kike wapo. Hata hivyo, ni wachache sana.
 
wakuu sidhani kama wanawake wanaweza kuwa makomando??? ni kazi ngumu sana saaanaaa...sidhani... ni kuwaonea tu...wanaume tu, si wote wanaoweza kuwa wapiganaji let alone majemadari?? ndio wanawake?? tafadhalini mama zetu, tunawaheshimu na kuwapenda sana lakini kwa hili mtusamehe tu...doh..
 
Nilishawai kuwauliza makomandoo kwenye maonesho yao pale saba saba mwaka juzi, wamesema duniani kote hakuna komandoo wa kike na hii ni sababu ya mfumo wao wa kimwili jinsi ulivyo ni vigumu kuhimili mazoezi yake, kwani ni magumu sana, wamesema wao kama makomandoo wanapata training karibu mataifa yote makubwa ulimwenguni, huwa wanatawanywa, lakini ukiuliza kote huko hakuna komandoo wa kike

Hivi hawa akina Cynthia Rothroc na Catwoman siyo commandoos kweli hao, au ni kwenye movie tu?
 
hakuna komando wa kike katika majeshi yote,Tanzania tulijaribu pale ngerengere waliingia wachache ila mwisho wa siku ilishindikana na hii ni kutokana na mazoezi magumu na kama ujuavyo dada zetu kidogo tuko tofauti kimaumbile na ustahimilivu wa miil yetu wakati mwingine ilikua inakua vigumu hasa anapokua kwenye .......... kama ujuavyo hivyo kushindwa kushiriki mazoezi hasa lile la kukaa kwenye tope kwa muda usiojulikana na mengineyo. ila wapo wakakamavu japo si komando.
 
Back
Top Bottom