Hizi ndio shida za kuwa na makuwadi wa soko huria.. Uono wao huwa hafifu mno!Sasa mkuu ndio kusema hutaki maendeleo unataka tudumae tu kila siku ukipita hapo ukute mihogo tu mpaka unazeeka ni mihogo tu.
Badilika kidogo sio kulia lia kila siku kwa kila kitu.
Naomba kujua hiyo shule iliyouzwa.Waombee sana! Maana hiyo move haina come back!
Vp bado wanawa kwala hela kwenye ATM hapo dom,au Usha msha solveSasa mkuu ndio kusema hutaki maendeleo unataka tudumae tu kila siku ukipita hapo ukute mihogo tu mpaka unazeeka ni mihogo tu.
Badilika kidogo sio kulia lia kila siku kwa kila kitu.
Wewe umejuaje kuwa pana nia ovu ?Pakiwa hapana nia ovu faida ni kotekote
(2,844) Baada ya Shule ya Msingi Mivinjeni kuuzwa, kota za Polisi Relwe nazo kuuzwa muda mfupi ujao | Page 2 | JamiiForums Baada ya Shule ya Msingi Mivinjeni kuuzwa, kota za Polisi Relwe nazo kuuzwa muda mfupi ujaoNaomba kujua hiyo shule iliyouzwa.
Nipate hata link ili nisome zaidi.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Achaa iuzwe,Kwanza pachafu kama nini pale,uswahili kila mahali,acha pawekezwe pawe kama Dubai..!
Kule Dudai fukwe nyingi zinamilikiwa na serikali na makampuni makubwa..!
Sisi tumejaza waswahili..!
NitawarogaHizi kelele wanazopiga hawa vijana hapa ni sawa na kelele za chura ambazo haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.
In fact kwasaasa kinauzwa kila kitu
Vikubwa vimeshauzwa vyote
Vya kati vimeshauzwa vyote sasa ni zamu ya vidogo
Wiki iliyopita tulishuhudia uuzwaji wa shule kule Kurasini DSM.
Kabla ya hapo kuna mashamba yenye mahindi yaliyokuwa yamemea vizuri sana kule Ngorongoro.. Kwa taharuki kubwa na kwa mshangao wa wengi yale mahindi yalifyekwa yote kwa amri na usimamizi wa DC
Mwaka jana stendi ya daladala ya simu 2000 iliuzwa. Wananchi walipinga kwa nguvu sana mpaka kufikia kuandamana lakini haikusaidia waliondoshwa kwa nguvu
Maeneo ya wazi karibia yote yalishauzwa, shule za serikali tumeshuhudia mbili zikiuzwa ndani ya mwaka mmoja
Masoko mengi yameuzwa lakini kelele hazikuwa nyingi kwakuwa ilitumika style ya kupiga kibiriti
Hawa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa wanaoonekana wakiongea.
Tuwaombee sana sana!
Na si ajabu ndani ya mwezi ujao ukaambiwa COCO BEACH imewaka moto usiku! Maana ajali za moto maeneo kama hayo siku hizi ni kawaida sana
Duh! 🥺🥵🤬Inawezekana ardhi ya coco beach ni sehemu ya Zanzibar, kuna wazalendo walidai kuwa eneo la Dar es Salaam, kilometa 10 kutoka ufukwe wa bahari lipo Zanzibar.
Ni vyema kabla ya muungano kuvunjika tufahamishane mipaka ya baharini kati ya Tanganyika na Zanzibar mapema wakati huu bado tunaelewana. Maana hawa wazenji wasije wakaleta kama za Malawi tukawachapa.
Kuna muda furahi UAMSHO walidai kuwa eneo la Dar es Salaam, kilometa 10 kutoka ufukwe wa bahari lipo Zanzibar.
Je kuna yeyote anayefahamu mipaka sahihi ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar atujuze mapema. Maana kama kujiandaa kwa LIWALO NA LIWE basi iwe mapema
- Head teacher
- Replies: 74
- Forum: Jukwaa la Siasa
Huwezi kuendeleza bila kuuza? Unafikiri zile open to public beach Miami nani anaziendeleza? Ni serikali za mtaa na manispaa kwa kutumia kodi za wananchi vizuri.Sasa mkuu ndio kusema hutaki maendeleo unataka tudumae tu kila siku ukipita hapo ukute mihogo tu mpaka unazeeka ni mihogo tu.
Badilika kidogo sio kulia lia kila siku kwa kila kitu.
Kubadilisha sio lazima uuze public areas.Jiji lazima libadilike..
Unafikiri watakuelewa haoHuwezi kuendeleza bila kuuza? Unafikiri zile open to public beach Miami nani anaziendeleza? Ni serikali za mtaa na manispaa kwa kutumia kodi za wananchi vizuri.
Hizi kelele wanazopiga hawa vijana hapa ni sawa na kelele za chura ambazo haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.
In fact kwasaasa kinauzwa kila kitu
Vikubwa vimeshauzwa vyote
Vya kati vimeshauzwa vyote sasa ni zamu ya vidogo
Wiki iliyopita tulishuhudia uuzwaji wa shule kule Kurasini DSM.
Kabla ya hapo kuna mashamba yenye mahindi yaliyokuwa yamemea vizuri sana kule Ngorongoro.. Kwa taharuki kubwa na kwa mshangao wa wengi yale mahindi yalifyekwa yote kwa amri na usimamizi wa DC
Mwaka jana stendi ya daladala ya simu 2000 iliuzwa. Wananchi walipinga kwa nguvu sana mpaka kufikia kuandamana lakini haikusaidia waliondoshwa kwa nguvu
Maeneo ya wazi karibia yote yalishauzwa, shule za serikali tumeshuhudia mbili zikiuzwa ndani ya mwaka mmoja
Masoko mengi yameuzwa lakini kelele hazikuwa nyingi kwakuwa ilitumika style ya kupiga kibiriti
Hawa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa wanaoonekana wakiongea.
Tuwaombee sana sana!
Na si ajabu ndani ya mwezi ujao ukaambiwa COCO BEACH imewaka moto usiku! Maana ajali za moto maeneo kama hayo siku hizi ni kawaida sana
Achaa iuzwe,Kwanza pachafu kama nini pale,uswahili kila mahali,acha pawekezwe pawe kama Dubai..!
Kule Dudai fukwe nyingi zinamilikiwa na serikali na makampuni makubwa..!
Sisi tumejaza waswahili..!
Sahv huko watu wanajenga viwanja vya michezo wanaweka nyasi nkKubadilisha sio lazima uuze public areas.