Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

Aisee niliwahi kujiuliza kwa nini sisi maeneo ya fukwe hatufanyi kama wenzetu ni maeneo ya wananchi majengo yanajengwa baada ya bara bara huko ufukweni watu wanaweza kufanya mazoezi umbali mrefu kwenye mchanga au vitofari..
Katika Beach ambayo nlibahatika kwenda,kula burdan na huwa siisahau ni copacabana,Brazil alafu ile ni free beach tu na watu wamefanya uwekezaji kimpangilio
Beach za Durban si umeziona nazo kuna ile Golden sand 😄
Mambo ya ushaka Beach

Hawa viongozi wetu watembe wakajifunze wapate idea

Ova
 
Hizi kelele wanazopiga hawa vijana hapa ni sawa na kelele za chura ambazo haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.

In fact kwasaasa kinauzwa kila kitu

Vikubwa vimeshauzwa vyote

Vya kati vimeshauzwa vyote sasa ni zamu ya vidogo

Wiki iliyopita tulishuhudia uuzwaji wa shule kule Kurasini DSM.

Kabla ya hapo kuna mashamba yenye mahindi yaliyokuwa yamemea vizuri sana kule Ngorongoro.. Kwa taharuki kubwa na kwa mshangao wa wengi yale mahindi yalifyekwa yote kwa amri na usimamizi wa DC

Mwaka jana stendi ya daladala ya simu 2000 iliuzwa. Wananchi walipinga kwa nguvu sana mpaka kufikia kuandamana lakini haikusaidia waliondoshwa kwa nguvu

Maeneo ya wazi karibia yote yalishauzwa, shule za serikali tumeshuhudia mbili zikiuzwa ndani ya mwaka mmoja

Masoko mengi yameuzwa lakini kelele hazikuwa nyingi kwakuwa ilitumika style ya kupiga kibiriti
Hawa vijana nawaonea huruma sana hasa hawa wanaoonekana wakiongea.

Tuwaombee sana sana!

Na si ajabu ndani ya mwezi ujao ukaambiwa COCO BEACH imewaka moto usiku! Maana ajali za moto maeneo kama hayo siku hizi ni kawaida sana

Hadi watanzania wapumbavu watakapojua maana ya azimio la arusha..
Madhara ya wageni kutawala nchi yetu ndiyo haya ..
 
Nikiwa mteule wenu nitarudisha kila kilichoporwa kwa wananchi wa Tanganyika ,ikiwa ni pamoja na kurudisha ardhi kuwa mali ya wananchi,na zenji kuwa mkoa
 
Konyagi ndogo 15,000
Miaka kadhaa nko mjini
Nliitwa na Mshuwa mmoja
Akaniambia tukutane hi spirit lounge..mkabala na ATC house kuingia kucheck menu nkaona konyagi kubw inaenda 40+ elfu
Nkasema msinitanie,nkashuka chini
Nkaenda kchkua zinga langu nkapanda nalo juu
Ilikuwa utata sana,yule mshuwa na heshima zake town na pale basi mpk leo akikumbuk lile tukio anasema wee kichwa chako unakijuwa mwenyewe 😄
KKonyag 10000 ukaniuzie 40+ mzinga haiwezekani

Ova
 
Miaka kadhaa nko mjini
Nliitwa na Mshuwa mmoja
Akaniambia tukutane hi spirit lounge..mkabala na ATC house kuingia kucheck menu nkaona konyagi kubw inaenda 40+ elfu
Nkasema msinitanie,nkashuka chini
Nkaenda kchkua zinga langu nkapanda nalo juu
Ilikuwa utata sana,yule mshuwa na heshima zake town na pale basi mpk leo akikumbuk lile tukio anasema wee kichwa chako unakijuwa mwenyewe 😄
KKonyag 10000 ukaniuzie 40+ mzinga haiwezekani

Ova
Hahahaha😂
 
Miaka kadhaa nko mjini
Nliitwa na Mshuwa mmoja
Akaniambia tukutane hi spirit lounge..mkabala na ATC house kuingia kucheck menu nkaona konyagi kubw inaenda 40+ elfu
Nkasema msinitanie,nkashuka chini
Nkaenda kchkua zinga langu nkapanda nalo juu
Ilikuwa utata sana,yule mshuwa na heshima zake town na pale basi mpk leo akikumbuk lile tukio anasema wee kichwa chako unakijuwa mwenyewe 😄
KKonyag 10000 ukaniuzie 40+ mzinga haiwezekani

Ova
IT Plaza Roof top napakumbuka. Tumeenda sana hapo. Hivi bado ina bang? Nikipita hapo chini naona warembo wa casino wamezagaazagaa
 
Hawachelewi Kuunda Tume Na Ziara Za Viongozi Mbalimbali Wakijifanya Wanawatetea Wananchi Huku Wakijifanya Hawajui Kinachoendelea,,Mbona Wananchi Kelele Siku Mobile Tu Baada Ya Hapo Tumesahau....Na Hatimaye Jambo Lao Linafanikiwa Kiulaini...Wanatengeneza Tatizo Wanaigiza Kulitatua,,Na Hatimaye Wanakamilisha Malengo Yao....
 
Miaka kadhaa nko mjini
Nliitwa na Mshuwa mmoja
Akaniambia tukutane hi spirit lounge..mkabala na ATC house kuingia kucheck menu nkaona konyagi kubw inaenda 40+ elfu
Nkasema msinitanie,nkashuka chini
Nkaenda kchkua zinga langu nkapanda nalo juu
Ilikuwa utata sana,yule mshuwa na heshima zake town na pale basi mpk leo akikumbuk lile tukio anasema wee kichwa chako unakijuwa mwenyewe 😄
KKonyag 10000 ukaniuzie 40+ mzinga haiwezekani

Ova
Hahaha ume nikumbusha Chai na half cake 2 elfu 14, nika mwambia mwenyeji tusepe.

Chai na vitumbua 10, 4000
 
Back
Top Bottom