Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

Huwezi kuendeleza bila kuuza? Unafikiri zile open to public beach Miami nani anaziendeleza? Ni serikali za mtaa na manispaa kwa kutumia kodi za wananchi vizuri.
Mkuu kuna mahali imesemekana pameuzwa??
 
Durban beach kwa mbali unakaa hotel hapo wewe ni kushuka chini na kufanya mazoezi hapo saa moja linatosha na usalama upo..
20260224_171858.jpg
20260220_152628.jpg
20260220_152610.jpg
 
Back
Top Bottom