Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Ni vyema kabla ya muungano kuvunjika tufahamishane mipaka ya baharini kati ya Tanganyika na Zanzibar mapema wakati huu bado tunaelewana. Maana hawa wazenji wasije wakaleta kama za Malawi tukawachapa.
Kuna muda furahi UAMSHO walidai kuwa eneo la Dar es Salaam, kilometa 10 kutoka ufukwe wa bahari lipo Zanzibar.
Je kuna yeyote anayefahamu mipaka sahihi ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar atujuze mapema. Maana kama kujiandaa kwa LIWALO NA LIWE basi iwe mapema
Kuna muda furahi UAMSHO walidai kuwa eneo la Dar es Salaam, kilometa 10 kutoka ufukwe wa bahari lipo Zanzibar.
Je kuna yeyote anayefahamu mipaka sahihi ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar atujuze mapema. Maana kama kujiandaa kwa LIWALO NA LIWE basi iwe mapema