Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Hii ni zaidi ya nyumba. Wasanii wetu wana la kujifunza.
 

Attachments

  • VID_20250406_150157_517.mp4
    35.5 MB
Ila hapa kachemka😂 uzee haukimbiwi.. Uzee ni fainali..🤣🤣🤣

Koffi Olomide: "Let me remind people who call me "Pépé": I am not a pépé,am not old, look at my appearance."

Reacting to the comments of those who nicknamed him "Pépé", a term often used to refer to an old man or a grandfather, the Grand Mopao did not mince his words.

"I remind people who call me 'Grandpa': I'm not a grandpa, look at my appearance," he declared, with his usual frankness.

A way for him to remind us that beyond his age, his appearance, his energy on stage and his influence in the musical world remain very young and still relevant.

Known for his unique style, elegance, and impressive artistic longevity, Koffi Olomide continues to inspire generations of fans. The artist, who has nothing left to prove in the music world, prefers to respond to criticism with his art and his consistently polished appearance.

This message also speaks to a segment of the public who seem to confuse age with obsolescence. For Koffi, age doesn't define relevance or artistic power. And judging by his latest media outing, he intends to continue rocking stages around the world—without letting age-related stereotypes hold him back.
1744076408280.jpg
 
Mnamo 1976, Koffi Olomide, aliyejulikana kwa jina la utani la Sékele, na Nonob Litshumba alipata umaarufu miongoni mwa mashabiki wa muziki wa Kiafrika, miaka sita tu baada ya kifo cha Bavon Marie.
1744078700991.jpg
 
Ndio mi mkubwa kwako, 1994 album Maggie inatoka mimi nina akili zangu timamu na Disco naenda.

Koffii ameoa mara tatu, alimuoa Marianne Makosso, wakazaa watoto watatu. Badae Stephanie Godie nae akapata nae watoto wawili, wakatemana.
Badae 1994, akamuoa kwa urasmi kabisa Alliane, mrembo mkali sana mama yake Didistone. Wanasema huyu ndie mwanamke ambae V12 alimpenda zaidi kiasi cha kumtungia nyimbo mbalimbali. Sikiliza "Miss des Miss" toka kwenye Album Noblesse Oblige, 1994. Walidumu miaka kibao wakaachana 2021 juzi tuu hapo.

Huyo Cindy ni hawala/kimada yaani extra marital. Bado mtu mzima hajamwaga wino hapo mzee. Anapiga tuu. 😁
🙄 🤣
 
Kuna hizi ngoma...
Mon Bonheur, Koukoulou na Symposium. Aaaaah mdada ana sauti huyo!

Wanaita "Soprano" voice wenyewe. Haipandi wala haishuki. 😁

Sikiliza "Asomba tukutuku" au "Ekea".
Kitu kikubwa kuhusu Mopao ni kwamba, waga hampendi mtu bure, iwe kimapenzi au kiusanii au kibiashara. You must have something special or gifted to be to his side. Yeye ndie wa kumtoa Cyndy kwenye gospel na kumuingiza QL ili wapate hela, sababu Cyndy anakipaji cha sauti ile.

Hii staili ya kutaja watu majina kwenye nyimbo "shout out" au Mabanga kama wanavyoita wao, hao watu ndio wawezeshaji kwa namna mbalimbali kwa msanii husika, kifedha. Japokuwa Koffie anataja sana pia marafiki, familia, waimbaji wa bendi yake n.k.

Mtu kama Didi Kinuani ndie anaempa dili Mopoa za Primus Avec, na ndie aliefadhili albam nyingi za QL ikiwemo "Skol Longitima".
Mtoto wa Koffie Del Piero alisomeshwa na Oto'o na ni "Godfather" wa kijana huyo. Eto'o hakosi kutajwa na video ya nyimbo kama "Tukutuku" anaonekana kabisa kideoni.
Mopao alilia kama mtoto siku anazikwa Ahmed Bakayoko hapo Ivory Coast, alimuomboleza kwa kumtungia nyimbo.
 
Chivundu
Na anampenda kweli mwanadada anakula good time. Sema Cindy nae kazubaa zubaa

BTW, Ekea siifahamu nitaitafuta.
Ila kuna muda natamani wangekuwa wanazungumza hata kiingereza tuwaelewe.
Hiyo combination yao naikubali sana!
 
Kwa kuongezea Coffie ni mtu a anaetumia vijana. Utakuta mziki wake kashirikisha vijana wadogo wadogo. Anavuna energy ya vijana, siku vijana wakimshitukia huenda akayumba.
Kwamba vijana wataandama?! Koffi kwa kuwa na jina kubwa ushirika wake na vijana unawainua vijana zaidi, wao ndio wanasafari ndefu mbele.
 
Ndio mi mkubwa kwako, 1994 album Maggie inatoka mimi nina akili zangu timamu na Disco naenda.

Koffii ameoa mara tatu, alimuoa Marianne Makosso, wakazaa watoto watatu. Badae Stephanie Godie nae akapata nae watoto wawili, wakatemana.
Badae 1994, akamuoa kwa urasmi kabisa Alliane, mrembo mkali sana mama yake Didistone. Wanasema huyu ndie mwanamke ambae V12 alimpenda zaidi kiasi cha kumtungia nyimbo mbalimbali. Sikiliza "Miss des Miss" toka kwenye Album Noblesse Oblige, 1994. Walidumu miaka kibao wakaachana 2021 juzi tuu hapo.

Huyo Cindy ni hawala/kimada yaani extra marital. Bado mtu mzima hajamwaga wino hapo mzee. Anapiga tuu. 😁
Simulizi tamu, ongeza wino tusome zaidi.
 
hili tukio lilinifanya kumchukia kbs huyu mzee anaonekana ni mpenda sifa, anajskia, jeuri, ana dharau sn, mpelekeshaji.
Kilicho mkasirisha Mopao huyo mdada aliiba taulo la kwny ndege ilhali mwazo alikataa hakuiba huku akionyesha utovu wa nidhamu...una bondwa tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom