Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,197
- 3,918
Mamà ruffa na London dadake kipenz na koffi huyu akimwambia koffi huyu demu wako simtaki hapohapo anapigwa chini ili uwe demu wa koffi lazima upite kwenye chujio la huyu maza kwanza
Koffi huwa ana upendo sana na familia yake. Wanafamilia wote lazima awarushe kwenye nyimbo zake.Mamà ruffa na London dadake kipenz na koffi huyu akimwambia koffi huyu demu wako simtaki hapohapo anapigwa chini ili uwe demu wa koffi lazima upite kwenye chujio la huyu maza kwanza
Huyo kavunja NDOA ya watu tu hawana hata miaka 5 toka watangaze ni wapenzi, mke wa koffi toka ujana wake ni huyo pichani anaitwa allianceHuyu Cindy kuna nyimbo kaimba na Koffi ana kasauti fulani ni nyoko aseeh. Sikuwahi kudhani ni mke wake, wamekutana wote wanajua kuimba bhana.
Kweli kabsaa!Mkuu Cyndi na Ekea ni juzi tuu hapo JK raisi wa nchi hii. Cyndi anajiunga QL miaka 9 badae Suzuki (4×4) kuondoka QL. 1999 Suzuki tayari ana Solo Album "Decompte Final".
Hawa akina Suzuki, Sam Tshintu, Djudju Chet, Petty Chomba, Cyndi ni baba zake.
Bado yupi hai?Huyu jamaa Adolf Muteba Chilawena namjua sana kipindi nafanya biashara ya kusafilisha vitenge kongo kuna bosi alikua anafanya kazi na huyu jamaa..
Mara ya mwisho nilimsikia kwa fally ipupa myday mayday
Hapana. Mke wa ujanani wa Koffi ni Mariane Makosso. Wana watoto wawili.Huyo kavunja NDOA ya watu tu hawana hata miaka 5 toka watangaze ni wapenzi, mke wa koffi toka ujana wake ni huyo pichani anaitwa alliance
View attachment 3294771
Hapana. Ameanza kuimba na Koffi mwaka 2007. Kabla ya hapo alikuwa akiimba na Mwimbaji wa TPOK Jazz ya Franco aitwaye Carlito Lassa ( Frere Carlyto) ambaye aliimba nyimbo Kama Maya, Affaire Kitikwala, album maarufu ya Mayaula Mayoni ya Don P .....
View: https://youtu.be/Ze6G_JF481w?si=bFKf2LnJrocauT5d
Kidada Kirefu ndiyo Cindy.....
Moja ya nyimbo maarufu za Carlyto aliimba na Mayaula Mayoni.
View: https://youtu.be/r_ZJphVz-sw?si=17mleIuzuiHX2DB6
Mkuu sindo yale ya Tabu mbaga kuijiita Nicole JoeberyyKwanini anaitwa le couer kwani yeye ni moyo na si binadamu?
Mkuu umenikumbusha yaani leo niko bampa to bampa na song la papa wrmba la Fula ngenge, hili goma nimelimis kwa miaka ishiri hivi.una tukonga nyoyo zetu na uchambuzi,
kama hutojali gusia ugomvi wao na Papa wemba,, niliwai sikia walitoa album ya pamoja lakin mpunga mwingi alipiga koffi, kwamba alimzidi ujanja ktk mikataba hasa ile kampun 🤣,
Ngoja tuipekue mkuu.Sikilizeni track inaitwa Eputsha...
Mkuu rhumba limetulia kichizi asee.Sikilizeni track inaitwa Eputsha...
inabidi niweke bando la kutosha kunyonya ,😁Mkuu umenikumbusha yaani leo niko bampa to bampa na song la papa wrmba la Fula ngenge, hili goma nimelimis kwa miaka ishiri hivi.
Nilikuwa sijalijua jina kipindi hiyo ila leo nimelifuma ktk ufukunyuzi.
Ndo lenyewe Hilo limekuja na Id nyingine, pumbavu kama wapumbavu wengineNitolee upumbavu wako hapa. Huna tofauti na ile misukuke ya Mwamposa. Kwanini ukubali kudanganywa kijinga? Yaani nchi bado ina watu wajinga mno. Mtu mwongo anatetewa na mimi ninayepinga uongo mnanishambulia... inashangaza.
Yupo hai mkuuBado yupi hai?
Baba LevoMkuu tuletee na list ya wanaompa nguvu diamond platinumz