Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Heshima kubwa kwako Mkuu, naamini hata hilo jina lako Chivundu umelitoa kwenye kibao cha Loi pale kwenye kibwagizo anasema Chiiivunduuuuuu

Ha ha ha. Pamoja sana mkuu.
Utamsikia Koffie mbele hapo, anasema "Nakobanga mino tee, nakobanga nzambe na ngai, hallelujah. Anasema "Simuogopi mtu yeyote, namuogopa Mungu tuu".
 
Ha ha ha. Pamoja sana mkuu.
Utamsikia Koffie mbele hapo, anasema "Nakobanga mino tee, nakobanga nzambe na ngai, hallelujah. Anasema "Simuogopi mtu yeyote, namuogopa Mungu tuu".
😄😄😄 Unanipa raha sanaa mkuu, kuna siku nitakutafta tupige story vizuri inaonekana una madini lukuki kumuhusu huyo Legend
 
Naona kama una chuki binafsi na mshana mbona mada haiitaji hata kua na hasira kujibu hata kama Kuna makosa ya information..tena mada yenyewe ya burudani mziki tena mziki wa Congo...hii haifai hata kidogo,,mambo haya madogo kama ni mtu mzima unaejitambua unamuelewesha mtu bila matusi na fedheha..unakua kama mtoto bwana ..au mwanamke mwenye wivu ..wanaume hatunaga hayo mambo
Umetema BUSARA tupu for FREE...🤝
 
Quadra Kora Man (V12) ni mtu mwerevu, anajipenda (self love), anapenda wanawake wazuri. Basi huyo mama chuchu za kusimama sio mdogo pale, pale Mopao amekwisha mchakaza na ameshamzalia DiDistone.
😆,
hiyo V12 idadavue mkuu,, mie ni mweupe kabisa 🤣,, napenda sana ngoma za mzee mopao
 
Ha ha ha. Pamoja sana mkuu.
Utamsikia Koffie mbele hapo, anasema "Nakobanga mino tee, nakobanga nzambe na ngai, hallelujah. Anasema "Simuogopi mtu yeyote, namuogopa Mungu tuu".
una tukonga nyoyo zetu na uchambuzi,

kama hutojali gusia ugomvi wao na Papa wemba,, niliwai sikia walitoa album ya pamoja lakin mpunga mwingi alipiga koffi, kwamba alimzidi ujanja ktk mikataba hasa ile kampun 🤣,
 
Sasa vijana wamsitukie ili waende wapi wakati nao wanataka uzoefu? Unafikri wanaweza kusimama peke Yao?
Wanaweza. Vijana wengi wamejengwa ktk kutojiamini. Kipaji huzaliwanacho mtu labda uwe huna kipaji. Ndio maana hata ktk siasa vijana wamekuwa wakitumiwa tu wakati wanaouwezo ila wanasubiri hisan ya wazee. China USA haipo hivyo vijana ndio chachu ya kila kitu.
Ndio maana mameneja wa makampuni makubwa huko ni vijana.
Kijana ndio binadamu mwenye enervy kubwa ila wengi hawatambui kutokana na wazee kuwahadaa na kuwatumia.
Ndio maana nchi zetu zinadumaa ktk kila kitu.
 
😆,
hiyo V12 idadavue mkuu,, mie ni mweupe kabisa 🤣,, napenda sana ngoma za mzee mopao

Baada ya Koffii kutoa albamu ya "V12" 1996 na kufanya vizuri, alijipa jina V12 akimananisha yeye ni engine yenye pistoni 12 " twelve cylinder piston engine".

Tazama wimbo "V12" alioutoa mwaka mmoja baada ya albamu ya "V12" anajisifia humo yeye ni nani, anauwezo gani. Kwenye album hii kuna nyimbo nzuri ikiwemo "Andrada" "Fauta D'jalon" "Aspirene" n.k


Tcha Tcho eza mayi eh (Tchatcho, eza mayi ni Maji).

Le Roi Des Betes (Yeye ni mfalme miongoni mwa wanyama wakali)

"Melembe, malembe... andrada, doucement, eeh malembe aah na ngai, andrada moukouloukoulou mamee eeh, eya". Yoka bein (jisikie vizuri).
 
Naona kama una chuki binafsi na mshana mbona mada haiitaji hata kua na hasira kujibu hata kama Kuna makosa ya information..tena mada yenyewe ya burudani mziki tena mziki wa Congo...hii haifai hata kidogo,,mambo haya madogo kama ni mtu mzima unaejitambua unamuelewesha mtu bila matusi na fedheha..unakua kama mtoto bwana ..au mwanamke mwenye wivu ..wanaume hatunaga hayo mambo
Nitolee upumbavu wako hapa. Huna tofauti na ile misukuke ya Mwamposa. Kwanini ukubali kudanganywa kijinga? Yaani nchi bado ina watu wajinga mno. Mtu mwongo anatetewa na mimi ninayepinga uongo mnanishambulia... inashangaza.
 
Nitolee upumbavu wako hapa. Huna tofauti na ile misukuke ya Mwamposa. Kwanini ukubali kudanganywa kijinga? Yaani nchi bado ina watu wajinga mno. Mtu mwongo anatetewa na mimi ninayepinga uongo mnanishambulia... inashangaza.
Naona kama una chuki binafsi na mshana mbona mada haiitaji hata kua na hasira kujibu hata kama Kuna makosa ya information..tena mada yenyewe ya burudani mziki tena mziki wa Congo...hii haifai hata kidogo,,mambo haya madogo kama ni mtu mzima unaejitambua unamuelewesha mtu bila matusi na fedheha..unakua kama mtoto bwana ..au mwanamke mwenye wivu ..wanaume hatunaga hayo mambo
 
Na huyu mwamba anaitwa Doctor Jeff ni nani aisee? Naona Fally anamtaja sana, kwenye albums zake mbili amemdedicate nyimbo nzima kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom