Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Koffi Olomide na Mkewe Cindy Le Couer

Sijajua kk kwa sababu ni muda sija itegea sikio KBC Taifa, sauti ni ya mkenya 😂.....

Tanzania napo radio zikawa nyingi plus wachungaji kila upande nadhani kama yupo anahudumu zaidi Kenya japo ni muda sasa
Yule Mzee alijua kuimiliki kipaza Sauti na Iie sauti yake ya zege.

Mungu amlinde.
 
Mwongo mkubwa wewe. Kama kitu hujui uwe unauliza. Mambo mengi umeandika uongo mtupu kama stori za vijiweni.

1. George Weah anayetajwa na Koffi ni huyu mchezaji na rais wa zamani wa Liberia. Koffi hajawahi na hana Mtayarishaji wa muziki mwenye hilo jina.

2. Tatcho Mbala ni mjasiriamali na mfanyabishara wa DRC na sio music producer.

3. Bestine Kazadi ni waziri huko DRC na Sandra Kazadi ni mpwa wa Koffi. Hawamfadhili pesa Koffi.
Halafu pia kuna mkongoman aliwahi niambia Adolf muteba Tshilamwina alifariki.
 
Huyu jamaa Adolf Muteba Chilawena namjua sana kipindi nafanya biashara ya kusafilisha vitenge kongo kuna bosi alikua anafanya kazi na huyu jamaa..

Mara ya mwisho nilimsikia kwa fally ipupa myday mayday
 
yule chuchu zimesimama 😁,
ila Mopao mshenzi sana mamaeee
ile ngoma noma sana, Fally ipupa na mwenzie Fere Gola wanakatika miuno 😆

Quadra Kora Man (V12) ni mtu mwerevu, anajipenda (self love), anapenda wanawake wazuri. Basi huyo mama chuchu za kusimama sio mdogo pale, pale Mopao amekwisha mchakaza na ameshamzalia DiDistone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom