JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2021/22, Kocha wa timu hiyo, Mohamed Nabi amesema kuwa wataendelea kupambana ili wamalize ligi bila kupoteza mchezo hata mmoja
“Nafurahi tumetwaa ubingwa, haikuwa kazi rahisi, lengo letu ni kuhakikisha hatupotezi mchezo hata kama hakuna cha kupoteza katika mechi zilizosalia,” anasema Nabi ambaye timu yake imesaliwa na mechi tatu.
“Nafurahi tumetwaa ubingwa, haikuwa kazi rahisi, lengo letu ni kuhakikisha hatupotezi mchezo hata kama hakuna cha kupoteza katika mechi zilizosalia,” anasema Nabi ambaye timu yake imesaliwa na mechi tatu.