Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
"Nafurahi sana kusikia Yanga SC inafanya vizuri, hiyo ni familia yangu, sijaondoka kwa ubaya Yanga, ni familia ambayo niliachana nayo kwa muda huku nikiwa na huzuni kubwa moyoni"
"Nafurahi kuona mambo yanaendelea vizuri hapo Yanga, hata walipowafunga Simba mabao (5) nilikuwa na furaha kubwa, najua mashabiki wa Yanga na hata viongozi walivyofurahia"
"Naona timu bado iko imara zaidi, nilikuwa hapo wakati naondoka nilisema kuondoka kwangu haiwezi kuwa shida kwa kuwa hata mimi nililetwa hapo na wale walionileta bado wapo na haohao ndio waliokuwa wanasajili wachezaji nikishirikiana nao"
"Nimefurahishwa na maingizo mapya ya wachezaji watatu hatari, Pacome, Yao na Maxi, timu pinzani zitapata sana shida kwa kuwa quality ya Yanga imeongezeka. Nafurahi pia kuona timu inafanya vizuri kimataifa (CAF)"
©️ Nasreddine Nabi
Kocha wa klabu ya FAR Rabat
.
.
Kocha huyo ambaye ni kinara wa ligi kuu ya Morocco 'Botola pro' amefanya interview hiyo na Mwanaspoti.
1. 👕 22 🅿️ 52 — FAR Rabat
2. 👕 22 🅿️ 48 — Raja Athletic
3. 👕 22 🅿️ 38 — FUS Rabat
4. 👕 20 🅿️ 32 — Wydad Athletic
"Nafurahi kuona mambo yanaendelea vizuri hapo Yanga, hata walipowafunga Simba mabao (5) nilikuwa na furaha kubwa, najua mashabiki wa Yanga na hata viongozi walivyofurahia"
"Naona timu bado iko imara zaidi, nilikuwa hapo wakati naondoka nilisema kuondoka kwangu haiwezi kuwa shida kwa kuwa hata mimi nililetwa hapo na wale walionileta bado wapo na haohao ndio waliokuwa wanasajili wachezaji nikishirikiana nao"
"Nimefurahishwa na maingizo mapya ya wachezaji watatu hatari, Pacome, Yao na Maxi, timu pinzani zitapata sana shida kwa kuwa quality ya Yanga imeongezeka. Nafurahi pia kuona timu inafanya vizuri kimataifa (CAF)"
©️ Nasreddine Nabi
Kocha wa klabu ya FAR Rabat
.
.
Kocha huyo ambaye ni kinara wa ligi kuu ya Morocco 'Botola pro' amefanya interview hiyo na Mwanaspoti.
1. 👕 22 🅿️ 52 — FAR Rabat
2. 👕 22 🅿️ 48 — Raja Athletic
3. 👕 22 🅿️ 38 — FUS Rabat
4. 👕 20 🅿️ 32 — Wydad Athletic