monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,125
- 1,459
... πππΎππ ππΌ πππ½πππππΌ
LIVE UPDATES:...................
MATCH DAY οΈοΈοΈοΈ
YANGA vs AZAM οΈ
BENJAMIN MKAPA
SAA 2:30 USIKU
Azam FC dhidi ya Yanga leo ni Mchezo wa Kibingwa, katika misimu (3) mfululizo Azam na Yanga hutupa mechi bora ya msimu.
Japo rekodi zinaonesha katika mechi (10) za mwisho overall Yanga kashinda (8) sare (1) na Azam akishida (1) lakini radha ya mechi hii haijaondoka kwa wapenzi wa soka.
... Ni mechi ambayo inabeba image ya ligi kuu kwa kuipa hadhi Africa kutokana na ubora wa kiuchezaji wa timu zote mbili na kimbinu.
Wachezaji waliocheza mechi iliyopita watakaoikosa mechi ni pamoja na ;
β Prince Dube β Alifunga goli
β Khalid Aucho
β Sospeter Bajana
β Alasane Diao
β Idrissu
Wachezaji walioongezeka kwenye dirisha dogo ambao possibly wana au Wangeweza kucheza ni ;
β Augustine Okrah
β Joseph Guede
β Pablo β Injury
β Mustapha (Golie)
β Fuenttes
Mechi hii iko tricky kwa timu zote.
Azam anataka ashinde ili ampite Simba akiamini anaweza kumfunga Simba ili akae juu yake na kupigania kumaliza nafasi ya pili ambayo itamuhakikishia kucheza ligi ya mabingwa Africa msimu ujao.
Yanga yeye anataka kushinda ili kutengeneza Morali Kuelekea mechi dhidi ya Mamelodi Sundowns na ku-cement nafasi yake ya kuwania Ubingwa kwani akishinda atamzidi Azam points 11 (Huku akiwa na kiporo) na atamzidi Simbal points (10) wakati ambao ligi itasimama na ikirejea atakutana na Simba ambapo akishinda au sare atakuwa na 75% ya kutwaa Ubingwa mapema.
Vipi utabiri wako mechi ya leo,nani ataibuka na ushindi?..Tutawaletea live updates hapa usikae mbali kufuatilia mtanange huu.
LIVE UPDATES:...................
MATCH DAY οΈοΈοΈοΈ
YANGA vs AZAM οΈ
BENJAMIN MKAPA
SAA 2:30 USIKU
Azam FC dhidi ya Yanga leo ni Mchezo wa Kibingwa, katika misimu (3) mfululizo Azam na Yanga hutupa mechi bora ya msimu.
Japo rekodi zinaonesha katika mechi (10) za mwisho overall Yanga kashinda (8) sare (1) na Azam akishida (1) lakini radha ya mechi hii haijaondoka kwa wapenzi wa soka.
... Ni mechi ambayo inabeba image ya ligi kuu kwa kuipa hadhi Africa kutokana na ubora wa kiuchezaji wa timu zote mbili na kimbinu.
Wachezaji waliocheza mechi iliyopita watakaoikosa mechi ni pamoja na ;
β Prince Dube β Alifunga goli
β Khalid Aucho
β Sospeter Bajana
β Alasane Diao
β Idrissu
Wachezaji walioongezeka kwenye dirisha dogo ambao possibly wana au Wangeweza kucheza ni ;
β Augustine Okrah
β Joseph Guede
β Pablo β Injury
β Mustapha (Golie)
β Fuenttes
Mechi hii iko tricky kwa timu zote.
Azam anataka ashinde ili ampite Simba akiamini anaweza kumfunga Simba ili akae juu yake na kupigania kumaliza nafasi ya pili ambayo itamuhakikishia kucheza ligi ya mabingwa Africa msimu ujao.
Yanga yeye anataka kushinda ili kutengeneza Morali Kuelekea mechi dhidi ya Mamelodi Sundowns na ku-cement nafasi yake ya kuwania Ubingwa kwani akishinda atamzidi Azam points 11 (Huku akiwa na kiporo) na atamzidi Simbal points (10) wakati ambao ligi itasimama na ikirejea atakutana na Simba ambapo akishinda au sare atakuwa na 75% ya kutwaa Ubingwa mapema.
Vipi utabiri wako mechi ya leo,nani ataibuka na ushindi?..Tutawaletea live updates hapa usikae mbali kufuatilia mtanange huu.