Kocha Syllersaid Mziray Hatunae tena

R I P Mziray. Poleni wafiwa na mungu awatie nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu.:sad:
 
Ni pigo kubwa kwa wapenda soka nchini. Apumzike kwa amani. Ni vema kumuenzi kwa kuendeleza yale mema aliyoyafanya
 
Back
Top Bottom