carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 521
- 1,258
SIMBA HATUNA KOCHA
Ameandika mwanachama wa Simba SC na Mayor mstaafu Boniface Jacob ✍️
"1. Simba hatuna kocha ...
2. Tunasajili halafu tunaogopa kutumia wachezaji wazuri tunaweka walewale tukitegemea matokeo mapya ..
3. Mtani alituzidi kimbinu na kiuwezo ndani ya uwanja.
4. Yanga haijabomoka kama tulivyotegemea (Labda kama walikamia).
5. BAHATI NI YETU"
My take:
Football sio politics..majina hayachezi,wanatakiwa kuingia kwenye mfumo,tena with right timing...nafkr tuwape muda hawa wachezaji wapya.
Ameandika mwanachama wa Simba SC na Mayor mstaafu Boniface Jacob ✍️
"1. Simba hatuna kocha ...
2. Tunasajili halafu tunaogopa kutumia wachezaji wazuri tunaweka walewale tukitegemea matokeo mapya ..
3. Mtani alituzidi kimbinu na kiuwezo ndani ya uwanja.
4. Yanga haijabomoka kama tulivyotegemea (Labda kama walikamia).
5. BAHATI NI YETU"
My take:
Football sio politics..majina hayachezi,wanatakiwa kuingia kwenye mfumo,tena with right timing...nafkr tuwape muda hawa wachezaji wapya.