Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,686
- 1,278
RIP "mwanangu"
Sasa una ushahidi gani kwa hizi allegations zako?Mie nakubaliana nawe sawa ingawa alikuwa kocha mzuri wa mpira LAKINI narudia tena LAKINI AMEWAUWA WENGI SANA WASIO NA HATIA KWA KUWASAMBAZIA VIRUS VYA UKIMWI najua mtanishambulia kwa kuwa nimesema amewauwa wengi NI KWELI AMEUWA WENGI KWASABABU ALIKUWA ANAJIJUA NI MWATHIRIKA NA ALIKUWA ANTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAISHA LAKINI BADO ALIKUWA ANACHUKUWA/ANATEMBEA NA MABINTI WENGI SANA,WAKE ZA WATU NA WATOTO WA SHULE PIA.
JE TUMESHAJIULIZA NI WANGAPI WATAKAOMFUATA MZIRAY BILA KUJIJUA KWA KUINGIA KWENYE CHENI YAKE.
NILIKUWA NAOMBA KWA MUNGU HUYU BABA AFE KWASABABU YA UCHUNGU NILIO NAO AMESAMBAZA KWA MAKUSUDI SANA VIRUSI VYAKE KWA WATU WASIO NA HATIA. NI HERI AMEKUFA APUMZIKE.
nimetoa dukuduku langu moyoni poleni wafiwa ila ukweli ndio huo naomba tubadilike jamani
rip duh malaria ni hatari
Sasa una ushahidi gani kwa hizi allegations zako?
umewahi kumfumania live au stori tu za kusikia mitaani.
Anyway ,Mungu atusamehe sisi wote kwa kuwa hakuna mkamilifu hata mmoja.sie wote tumetenda dhambi na tunaendelea kutenda........
Mie nakubaliana nawe sawa ingawa alikuwa kocha mzuri wa mpira LAKINI narudia tena LAKINI AMEWAUWA WENGI SANA WASIO NA HATIA KWA KUWASAMBAZIA VIRUS VYA UKIMWI najua mtanishambulia kwa kuwa nimesema amewauwa wengi NI KWELI AMEUWA WENGI KWASABABU ALIKUWA ANAJIJUA NI MWATHIRIKA NA ALIKUWA ANTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAISHA LAKINI BADO ALIKUWA ANACHUKUWA/ANATEMBEA NA MABINTI WENGI SANA,WAKE ZA WATU NA WATOTO WA SHULE PIA.
JE TUMESHAJIULIZA NI WANGAPI WATAKAOMFUATA MZIRAY BILA KUJIJUA KWA KUINGIA KWENYE CHENI YAKE.
NILIKUWA NAOMBA KWA MUNGU HUYU BABA AFE KWASABABU YA UCHUNGU NILIO NAO AMESAMBAZA KWA MAKUSUDI SANA VIRUSI VYAKE KWA WATU WASIO NA HATIA. NI HERI AMEKUFA APUMZIKE.
nimetoa dukuduku langu moyoni poleni wafiwa ila ukweli ndio huo naomba tubadilike jamani
sasa una ushahidi gani kwa hizi allegations zako?
Umewahi kumfumania live au stori tu za kusikia mitaani.
Anyway ,mungu atusamehe sisi wote kwa kuwa hakuna mkamilifu hata mmoja.sie wote tumetenda dhambi na tunaendelea kutenda........
ukimwi upo,rest in peace mzirai ila umeacha chain kubwa sana kwa jinsi ulivyoonekana afya nono,watu walikuwa hawaamini.