engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Jina la bwana liabuduwe,poleni wadau wote hususani ktk issue za michezo
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi aaamin
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi aaamin
Mie nakubaliana nawe sawa ingawa alikuwa kocha mzuri wa mpira LAKINI narudia tena LAKINI AMEWAUWA WENGI SANA WASIO NA HATIA KWA KUWASAMBAZIA VIRUS VYA UKIMWI najua mtanishambulia kwa kuwa nimesema amewauwa wengi NI KWELI AMEUWA WENGI KWASABABU ALIKUWA ANAJIJUA NI MWATHIRIKA NA ALIKUWA ANTUMIA DAWA ZA KUONGEZA MAISHA LAKINI BADO ALIKUWA ANACHUKUWA/ANATEMBEA NA MABINTI WENGI SANA,WAKE ZA WATU NA WATOTO WA SHULE PIA.
JE TUMESHAJIULIZA NI WANGAPI WATAKAOMFUATA MZIRAY BILA KUJIJUA KWA KUINGIA KWENYE CHENI YAKE.
NILIKUWA NAOMBA KWA MUNGU HUYU BABA AFE KWASABABU YA UCHUNGU NILIO NAO AMESAMBAZA KWA MAKUSUDI SANA VIRUSI VYAKE KWA WATU WASIO NA HATIA. NI HERI AMEKUFA APUMZIKE.
nimetoa dukuduku langu moyoni poleni wafiwa ila ukweli ndio huo naomba tubadilike jamani
Duh!!! hii imefuata nini huku kwenye jukwaa la mapenzi? au jamaa alikuwa mtu wa *************?
Finally, "the super coach" mziray is dead: