King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,865
- 6,156
mafanikio gani mkuu, kuifunga al ahly ndo mafanikio
timu zinaifunga baselona,man city, man utd na hazijitapi mkuu.
labda mafanikio ya kuchukua simba super cup.
mkuu mimi nijistukie naanzaje kwanza yaani mwananchi mwenye historia yake nijistukie kisa paka kamfunga al ahlyIvi kuwa hapa hujishtukii?
historia inasema wananchi ndio club ya kwanza kufika robo fainala ligi ya mabingwa afrika
historia inasema wananchi ndo club ya kwanza kuingia makundi club bingwa afrika
Historia inasema kwa soka safi la wananchi ilibidi hadi irushwe shilingi yanga vs asante kotoko ili kumpata mshindi wa kuendele nusu fainal.
kama paka fc tu hawezi fikia rekodi hizo itakuwa Namungo mkuu acha utani.
Hugo mmakonde sio kwamba ni mchezaji mzuri
Ila kamekamia tu ili kumuonesha pitso kuwa alikosea kukatema
Kumbe alipatia kukatema kachezaji kanakobabatiza
Amekusikitisha wewe na sio dunia, na mtaiona dunia chungu. Mwenzio Elungata alibeti sh. 500,000/= sasa hivi anajutaBwalya yule wa moto leo anacheza kizembe vile hadi kuisikitisha dunia nzima
Niwadokeze kidogo, weka 500,000 ubeti Al ahly anashinda, jioni ukunje milioni na ushee
Achana na mchawi huyojifunze kubalance shobo,utakuja kufa bila sababu ya msingi
Muungwana hunenaYanga tujipange sana aisee...
Simba hawajui mpira wanajua uchawi tu
Simba hawajui mpira wanajua uchawi tu
Alisikika Mlevi mmoja akibwabwaja baaada ya Wageni wake Mafarao kupigwa cha Mkwezi. Mwaka huuu mtaisha kwa Magonjwa ya MoyoSimba hawajui mpira wanajua uchawi tu
Wewe hujui chochote hapa duniani.Simba hawajui mpira wanajua uchawi tu
Zile 4-1 mbona unaziruka au kichwa chako kimejaa kumbukumbu za utopolo wakishindaKwa mbinde sana unakumbuka march 8, vp mapinduzi cup sema iliotea kuchomoa ile majuzi baada ya babu kupigizwa kichwa kwenye mchanga na fundi T.K
Jana Kapombe kaonyesha mpira wake halisi ambao tumeuzoea wa kushambulia huku akipiga vyenga kwenye mstari
Historia inasema au Mwakalebela ndio anavyowaambia?historia inasema wananchi ndio club ya kwanza kufika robo fainala ligi ya mabingwa afrika
historia inasema wananchi ndo club ya kwanza kuingia makundi club bingwa afrika
Historia inasema kwa soka safi la wananchi ilibidi hadi irushwe shilingi yanga vs asante kotoko ili kumpata mshindi wa kuendele nusu fainal.
kama paka fc tu hawezi fikia rekodi hizo itakuwa Namungo mkuu acha utani.
Pole utopolo!! Inakuuma lakini jipe moyo itapona taratibu huku ukijiandaa kisaikolojia kuukubali Moto wa Simba!!!!mafanikio gani mkuu, kuifunga al ahly ndo mafanikio
timu zinaifunga baselona,man city, man utd na hazijitapi mkuu.
labda mafanikio ya kuchukua simba super cup.