zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,002
- 21,216
unafahamu mfumo wa makundi umeanza lini kabla ya mfumo wa makundi wafahamu hali ilikuwajeHistoria inasema au Mwakalebela ndio anavyowaambia?
Weka hapa kundi lenu mlilopita kwenda robo.
Unafahamu kabla ya ujio wa mfumo wa penati ilikuwa ni kurusha shilingi na mechi ya kufuzu baina ya wananchi na asante kotoko ilitumika
mfumo wa makundi umekuja juzi kati we mbumbumbu fc